YANGA : TUMEFANYIA KAZI MAKOSA YETU, TUNAHITAJI POINTI TATU
HomeMichezo

YANGA : TUMEFANYIA KAZI MAKOSA YETU, TUNAHITAJI POINTI TATU

 JUMA Mwambusi Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa makosa ambayo waliyafanya kwenye mchezo dhidi ya KMC wameyafanyia kazi hivyo wataing...


 JUMA Mwambusi Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa makosa ambayo waliyafanya kwenye mchezo dhidi ya KMC wameyafanyia kazi hivyo wataingia kwa kujiamini kusaka ushindi mbele ya Boashara United.

Mchezo wao uliopita Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 kukamilika ubao ulisoma Yanga 1-1 KMC na kuwadfanya kugawana pointi mojamoja. 

Leo Aprili 16 Yanga ina kazi ya kusaka ushindi mbele ya Biashara United mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa.

Mchezo wa mzunguko wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Karume, Mara ubao ulisoma Biashara 0-1 Yanga hivyo leo utakuwa ni mchezo wa kisasi kwa Biashara United na Yanga itakuwa na kazi ya kulinda rekodi yake.

Mwambusi amesema:"Makosa ambayo tuliyafanya kwenye mchezo wetu uliopita tumeyafanyia kazi na tutaingia uwanjani kwa lengo la kupata pointi tatu.

"Kikubwa mashabiki wajitokeze kwa wingi kutupa sapoti, bado tuna mechi na ligi haijaisha chochote kinaweza kutokea," .


Kwenye msimamo Yanga ipo nafasi ya kwanza ikiwa na pointi 51 na Biashara United ipo nafasi ya nne na pointi zake ni 40. 



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: YANGA : TUMEFANYIA KAZI MAKOSA YETU, TUNAHITAJI POINTI TATU
YANGA : TUMEFANYIA KAZI MAKOSA YETU, TUNAHITAJI POINTI TATU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMtws2qePq19PB7GeLjVdWUR8nqPxKb8AP4is609UDWeQ-Pw4l4y8S-TmO9ifD74BKZFUCwZX-0Ja0De6g_bfVjTtLsefqCOCMcGYH3TTLbXALDBmG5K8kvbZK1EuplSohSanWB0Au8dxt/w640-h640/Mwambusi+na+Michael.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMtws2qePq19PB7GeLjVdWUR8nqPxKb8AP4is609UDWeQ-Pw4l4y8S-TmO9ifD74BKZFUCwZX-0Ja0De6g_bfVjTtLsefqCOCMcGYH3TTLbXALDBmG5K8kvbZK1EuplSohSanWB0Au8dxt/s72-w640-c-h640/Mwambusi+na+Michael.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/yanga-tumefanyia-kazi-makosa-yetu.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/yanga-tumefanyia-kazi-makosa-yetu.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy