MORRISON AWAFANYIA MAZOEZI MAALUMU MABOSI WAKE WA ZAMANI
HomeMichezo

MORRISON AWAFANYIA MAZOEZI MAALUMU MABOSI WAKE WA ZAMANI

  Z IKIWA  zimebaki  takribani siku nane  kabla ya Dabi  ya Kariakoo kati ya  Simba na Yanga, Kiungo  Mshambuliaji wa Simba,  Bernard M...





 ZIKIWA zimebaki takribani siku nane kabla ya Dabi ya Kariakoo kati ya Simba na Yanga, Kiungo Mshambuliaji wa Simba, Bernard Morrison, amesema atakuwa akifanya mazoezi maalum kwa ajili ya mchezo huo.


 

Morrison ambaye amejiunga na Simba msimu huu akitokea Yanga, kama akicheza mechi hii, itakuwa ni mara ya kwanza kucheza dhidi ya Yanga baada ya ile ya kwanza iliyochezwa Novemba 7, 2020, kukosekana.

 

Tayari Morrison amecheza Kariakoo Dabi mbili akiwa Yanga ambapo ya kwanza alifunga bao pekee lililoipa Yanga ushindi wa 1-0 kwenye Ligi Kuu Bara, kabla ya ile ya pili Simba kushinda 4-1 ndani ya Kombe la FA.

 

Mei 8, mwaka huu, Simba itakuwa mwenyeji wa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Dar.

 

Akizungumza na Spoti Xtra, Morrison amesema kuwa: “Haina haja ya mimi kuwazungumzia Yanga kwani sioni maana ya kuizungumzia maana mimi mwenyewe naonekana kama Simba, kwa hiyo tusubirie siku yenyewe.

 

"Nimejipanga na mazoezi maalum kuelekea mchezo huo kwani ni mchezo mkubwa na wa kwanza kwangu nikiwa Simba.”





Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: MORRISON AWAFANYIA MAZOEZI MAALUMU MABOSI WAKE WA ZAMANI
MORRISON AWAFANYIA MAZOEZI MAALUMU MABOSI WAKE WA ZAMANI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiHzFKUZxwlaOD52c0uqO7e9e1BUlxARyFyYe9TnGYEnyhpKW6gqF2V1rVeyuk2H5w3fV7cJY5_Y4GzcouabMxtxSKv2sjbmqyo-yMtvvEXKCypK37gIOoYqxSFTpCiRNaOK5Aw3nNSCxln/w640-h526/Morison+tizi.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiHzFKUZxwlaOD52c0uqO7e9e1BUlxARyFyYe9TnGYEnyhpKW6gqF2V1rVeyuk2H5w3fV7cJY5_Y4GzcouabMxtxSKv2sjbmqyo-yMtvvEXKCypK37gIOoYqxSFTpCiRNaOK5Aw3nNSCxln/s72-w640-c-h526/Morison+tizi.JPG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/morrison-awafanyia-mazoezi-maalumu.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/morrison-awafanyia-mazoezi-maalumu.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy