SIMBA KUTUA TIMU BONGO LEO, KUNDI A MAMBO NI MAZITO
HomeMichezo

SIMBA KUTUA TIMU BONGO LEO, KUNDI A MAMBO NI MAZITO

  BAADA ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes kugawana pointi mojamoja na Al Merrikh kwenye mchezo wa Ligi ya Mabi...


 BAADA ya kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes kugawana pointi mojamoja na Al Merrikh kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hatua ya makundi, leo Machi 7 kinatarajia kutua ardhi ya Tanzania.

Tayari kikosi hicho kimeanza safari kutoka Sudan na leo kimewasili salama nchini Addis Ababa, Ethiopia kabla ya kuibukia Dar.

Saa 4:30 asubuhi kinatarajia kuanza safari ya kurudi Tanzania ili kuendelea na maandalizi ya mechi zake zijazo.

Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomes amesema kuwa bado wana kazi kubwa ya kufanya kwenye mechi zao zilizobaki ili kuweza kufikia malengo.

"Makosa kwenye mechi zetu ambazo zimepita tunayachukua na kuyafanyia kazi kwani kikubwa ambacho tunahitaji ni ushindi ndani ya uwanja," .

Simba ikiwa inaongoza kundi A na pointi zake saba, mambo yanaonekana kuwa ni mazito kwa kuwa kwa sasa timu zote zina nafasi ya kusonga mbele na kutinga hatua ya robo fainali.

Al Ahly na AS Vita baada ya kulazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 wanafikisha jumla ya pointi nne huku Al Merrikh nayo inakuwa na pointi moja.

Hivyo ikiwa Simba itashindwa kupata matokeo kwenye mechi zake mbili nafasiya kuangukia nafasi ya tatu ni kubwa hivyo ni lazima ijipange ili kuweza kufikia malengo. 


Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SIMBA KUTUA TIMU BONGO LEO, KUNDI A MAMBO NI MAZITO
SIMBA KUTUA TIMU BONGO LEO, KUNDI A MAMBO NI MAZITO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDtVMhQhBF1tU7yHjDpGXeq8EMGrbENC_eyI69yzLNm2IiFFqp6I07mnlZgI3YiH6PY9Tb7onRSxespZIAJTZ60AlibdW-wZ7fSRE9hNiraFeqH4c3Ci9BIE8qMwuOq33_QM-5YroF9km6/w640-h522/Kimataifa.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjDtVMhQhBF1tU7yHjDpGXeq8EMGrbENC_eyI69yzLNm2IiFFqp6I07mnlZgI3YiH6PY9Tb7onRSxespZIAJTZ60AlibdW-wZ7fSRE9hNiraFeqH4c3Ci9BIE8qMwuOq33_QM-5YroF9km6/s72-w640-c-h522/Kimataifa.JPG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/simba-kutua-timu-bongo-leo-kundi-mambo.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/simba-kutua-timu-bongo-leo-kundi-mambo.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy