KOCHA GUARDIOLA AWATAJA WACHEZAJI ANAOWAHOFIA NDANI YA MAN UNITED
HomeMichezo

KOCHA GUARDIOLA AWATAJA WACHEZAJI ANAOWAHOFIA NDANI YA MAN UNITED

  PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amesema kuwa anawahofia mastaa wa Klabu ya Manchester United kutokana na uwezo wao wa kusa...

 


PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amesema kuwa anawahofia mastaa wa Klabu ya Manchester United kutokana na uwezo wao wa kusaka ushindi ndani ya uwanja.

Leo, City itawakaribisha United, Uwanja wa Etihad kwenye mchezo wa Ligi Kuu England ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

Mchezo wa mzunguko wa kwanza walipokutana uwanjani kusaka pointi tatu waligawana pointi mojamoja kwa sare ya bila kufungana jambo ambalo linatoa picha kwamba mchezo wa leo utakuwa ni mgumu kwa timu zote mbili.

United ina rekodi ya kutopoteza mechi 21 ikiwa ugenini huku City wenyeji wakiwa na rekodi ya kushinda jumla ya mechi 21 mfululizo.

Guardiola amesema:"Man United wapo vizuri na wana wachezaji wengi ambao wanaweza kuleta ushindani, kwenye eneo la ushambuliaji Bruno Fernandes ana spidi kama ilivyo kwa  James (Dan) na Rasford," .

Kwa upande wa Ole amesema :"Tunaenda kupambana na timu bora lakini malengo yetu yanabaki ni kushinda kwenye kila mchezo,". 



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KOCHA GUARDIOLA AWATAJA WACHEZAJI ANAOWAHOFIA NDANI YA MAN UNITED
KOCHA GUARDIOLA AWATAJA WACHEZAJI ANAOWAHOFIA NDANI YA MAN UNITED
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgLd9gAAx-xqAtE1g0jRx1FfvAioQyiGRACFvKqCreaekE6EYASqmQbxOM-AIR1UJLcmseGFSuHd0z1VS0hyphenhyphenV90DNxJqXaST1XOXIUS6ztCTqohSMcSQESziJ3OUYcLInCf8WvPIIW67XkT/w640-h360/guardiola.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgLd9gAAx-xqAtE1g0jRx1FfvAioQyiGRACFvKqCreaekE6EYASqmQbxOM-AIR1UJLcmseGFSuHd0z1VS0hyphenhyphenV90DNxJqXaST1XOXIUS6ztCTqohSMcSQESziJ3OUYcLInCf8WvPIIW67XkT/s72-w640-c-h360/guardiola.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/kocha-guardiola-awataja-wachezaji.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/kocha-guardiola-awataja-wachezaji.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy