Hii ndiyo idadi ya waliotazama Tukio la kuagwa kwa Dr Magufuli
HomeHabari

Hii ndiyo idadi ya waliotazama Tukio la kuagwa kwa Dr Magufuli

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa karibu ya watu bilioni 4 duniani kote, wametazama kupitia vyombo vya habari zoezi la kuagwa kwa m...

Kiwanja Cha Ndege Cha Musoma Kufungua Anga
Serikali Yatoa Zaidi Ya Sh.524 Milioni Kujenga Barabara Wilayani Iramba
Zimbabwe Inathamini Mchango Wa Tanzania Katika Ukombozi Wa Taifa Hilo

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa karibu ya watu bilioni 4 duniani kote, wametazama kupitia vyombo vya habari zoezi la kuagwa kwa mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, ambalo kitaifa lilifanyika jana Jijini Dodoma.

Kauli hiyo ameitoa leo Machi 23, 2021, visiwani Zanzibar, wakati akivishukuru vyombo vya habari mbalimbali ambavyo vimejitoa kurusha mubashara shughuli zote za kuaga mwili wa Hayati Dkt. Magufuli.

"Nashukuru vyombo vya habari na kwa kweli mmekua nasi tangu siku ya kwanza hata tukio hili mnalirusha duniani kote, mpaka jana jioni tunazo taarifa waliofuatilia tukio la kuaga mwili wa Hayati Dkt. Magufuli, kitaifa jana Dodoma ni watu karibu bilioni 4, walikuwa wanafuatilia tukio la kuaga kwa mpendwa wetu," amesema Waziri Mkuu Majaliwa.

Shughuli ya Kitaifa ya kuaga mwili wa Magufuli ilifanyika jana katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.

Mwili wa Magufuli leo unaagwa katika uwanja wa Amaan Zanzibar na utalala katika Ikulu ya Zanzibar.




Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Hii ndiyo idadi ya waliotazama Tukio la kuagwa kwa Dr Magufuli
Hii ndiyo idadi ya waliotazama Tukio la kuagwa kwa Dr Magufuli
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhJKveTpl30oH5e2xUvGAl0-ZoPqeutOJXsG6srWPcHSTKZCYYlmoFiYlga8toWSfFpJr7b37v0MDtUMu-WEHmSLmmQXMJu6BGxKdKZSginWMihfWDS8Lqtxa0X-2IVs6vQUWclfJ4VG5nP/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhJKveTpl30oH5e2xUvGAl0-ZoPqeutOJXsG6srWPcHSTKZCYYlmoFiYlga8toWSfFpJr7b37v0MDtUMu-WEHmSLmmQXMJu6BGxKdKZSginWMihfWDS8Lqtxa0X-2IVs6vQUWclfJ4VG5nP/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/hii-ndiyo-idadi-ya-waliotazama-tukio-la.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/hii-ndiyo-idadi-ya-waliotazama-tukio-la.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy