HESABU ZA YANGA BAADA YA KUYUMBA ZIPO NAMNA HII
HomeMichezo

HESABU ZA YANGA BAADA YA KUYUMBA ZIPO NAMNA HII

  UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa imani yao kubwa kwa sasa ni kuweza kurejea kwenye uimara na kupata matokeo chanya katika mechi zao zi...

MFARANSA WA SIMBA:NATAKA MABAO MENGI
JURGEN KLOPP:TULISTAHILI KUSHINDA
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

 UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa imani yao kubwa kwa sasa ni kuweza kurejea kwenye uimara na kupata matokeo chanya katika mechi zao zilizobaki licha ya kuyumba kwa muda.

Machi 7, Yanga walimfuta kazi Cedric Kaze raia wa Burundi na msaidizi wake Nizar Khalfan ambaye ni mzawa kwa kile ambacho walieleza kuwa ni mwendo mbovu wa timu hiyo.

Katika mechi sita, Kaze aliongoza kikosi hicho kushinda mechi moja, sare nne na alipoteza mchezo wa kwanza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union ni kwenye mzunguko wa pili.

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Mshindo Msolla amesema kuwa yote ambayo wanapita ni kipindi cha mpito yatakwisha na maisha yataendelea.

“Tukiwa ni timu tunatambua kwamba mashabiki wanahitaji kuona tunapata matokeo hilo ni jambo jema nasi tunalifikiria. Kuyumba ni kwa muda tunaamini kwamba tutarejea kwenye ubora na kila kitu kitakwenda sawa.

“Ni mapema kwa sasa kukata tamaa kwa sababu kuna mechi zipo ambazo tutacheza na tuna amini kwamba wachezaji wetu ni wazuri na watapambana kupata matokeo," .

Yanga ipo mikononi mwa Kaimu Kocha Mkuu, Juma Mwambusi ambaye ameanza mazoezi na kikosi kambini Kigamboni.

Kwenye msimamo ipo nafasi ya kwanza na imekusanya jumla ya pointi 50 baada ya kucheza mechi 23.

Miongoni mwa wachezaji ambao wameanza mazoezi ni pamoja na Paul Godfrey, 'Boxer', Ramadhan Kabwili, Faroukh Shikhalo, Michael Sarpong.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: HESABU ZA YANGA BAADA YA KUYUMBA ZIPO NAMNA HII
HESABU ZA YANGA BAADA YA KUYUMBA ZIPO NAMNA HII
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhqqKnCn0VTd3Okh3YOvAprUHINGMgjRjURTd-e6noBGNt54fHMGbz1riaGtChRETSOtbi0YzHe8pE6M4yGVA8FetZNv7CAiempHwoDRlxPGbZ3kkVkEkeCosiNFn3w1AJ7MBJ-vC8SeYI9/w566-h640/Boxer+Yanga.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhqqKnCn0VTd3Okh3YOvAprUHINGMgjRjURTd-e6noBGNt54fHMGbz1riaGtChRETSOtbi0YzHe8pE6M4yGVA8FetZNv7CAiempHwoDRlxPGbZ3kkVkEkeCosiNFn3w1AJ7MBJ-vC8SeYI9/s72-w566-c-h640/Boxer+Yanga.JPG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/hesabu-za-yanga-baada-ya-kuyumba-zipo.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/03/hesabu-za-yanga-baada-ya-kuyumba-zipo.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy