WANNE WA AZAM FC KUIKOSA TANZANIA PRISONS KESHO
HomeMichezo

WANNE WA AZAM FC KUIKOSA TANZANIA PRISONS KESHO

  NYOTA wanne wa kikosi cha kwanza cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina kesho wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi K...

 


NYOTA wanne wa kikosi cha kwanza cha Azam FC kinachonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina kesho wanatarajiwa kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons.

Mchezo huo ulibadilishiwa tarehe kwa kuwa Uwanja wa Azam Complex unatumiwa na Namungo FC kwenye mechi za kimataifa ambapo leo Februari 21 watacheza dhidi ya 1 de Agosto ya Angola ambao ni mchezo wa Kombe la Shirikisho.

Hivyo badala ya mchezo huo wa ligi kuchezwa leo, utachezwa kesho majira ya saa 1:00 usiku, Uwanja wa Azam Complex.

Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa katika wachezaji ambao hawapo kwenye mpango wa Lwandamina ni watatu.

"Wachezaji watatu hawatakuwa sehemu ya kikosi cha kesho dhidi ya Tanzania Prisons kwa kuwa wanasumbuliwa na majeraha ikiwa ni pamoja na Salum Abubakary,'Sure Boy', Yahya Zayd pamoja na Frank Domayo hawa wanasumbuliwa na majeraha.

"Obrey Chirwa yeye aliumia kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Simba ila kwa sasa anaendelea vizuri na ameanza mazoezi mepesi hapo kazi itakuwa mikononi mwa mwalimu kuamua kumtumia ama la.

"Kuhusu maandalizi kila kitu kipo sawa na tutapambana kusaka matokeo chanya,". 



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: WANNE WA AZAM FC KUIKOSA TANZANIA PRISONS KESHO
WANNE WA AZAM FC KUIKOSA TANZANIA PRISONS KESHO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhHFZbWP2wbWndtNXk5xgIVx9PzX4qFvoOX_O_qtEckcwTsfYJnpkq4Erjyuy9vcrTpJC7hTsExIgvLVPGYkIq10Go7cio_8HHdIGT61wocCKNVMMwY6xKeGYPrSPtHAIX16jxkRid131-B/w640-h466/sure+boy.PNG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhHFZbWP2wbWndtNXk5xgIVx9PzX4qFvoOX_O_qtEckcwTsfYJnpkq4Erjyuy9vcrTpJC7hTsExIgvLVPGYkIq10Go7cio_8HHdIGT61wocCKNVMMwY6xKeGYPrSPtHAIX16jxkRid131-B/s72-w640-c-h466/sure+boy.PNG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/wanne-wa-azam-fc-kuikosa-tanzania.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/wanne-wa-azam-fc-kuikosa-tanzania.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy