Rais Magufuli Ataja Sababu za Kuendelea Kumteua Balozi Kijazi
HomeHabari

Rais Magufuli Ataja Sababu za Kuendelea Kumteua Balozi Kijazi

 Rais wa Tanzania, John Magufuli amesema alikosa mtu wa kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi baada ya aliyekuwa akishika nafasi hiyo, Balozi J...

Wakulima Wa Siha Msihofu Nzige Tunawadhibiti- Prof. Mkenda
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo February 25
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo February 24

 Rais wa Tanzania, John Magufuli amesema alikosa mtu wa kumteua kuwa katibu mkuu kiongozi baada ya aliyekuwa akishika nafasi hiyo, Balozi John Kijazi kustaafu mwaka 2017 na hivyo kuamua kumuongezea muda.

Magufuli amefichua siri hiyo leo Ijumaa Februari 19, 2021 katika ibada ya mazishi ya Balozi Kijazi aliyefariki dunia juzi usiku Februari 17, 2021 katika Hospitali ya Benjamin Mkapa alikokuwa akipatiwa matibabu.

Magufuli amesema Balozi Kijazi aliyezaliwa mwaka 1956 umri wake wa kustaafu ulifika mwaka 2017 na alilazimika kuendelea kufanya naye kazi kutokana na kukosa mbadala wake.

“Alizaliwa mwaka 1956 lakini mpaka leo alikuwa bado ni katibu mkuu kiongozi, maana yake ulipofika wakati wa kustaafu mwaka 2017 nikajaribu kuangalia nani wa kuchukua nafasi yake nikakosa.”

“Nikamuongeza miaka miwili nikifikiri ndani ya muda huo nitapata mwingine lakini hadi mwaka 2019 sikupata, nikamuongeza tena miaka mingine miwili, Mungu akasema umezoea kweli akamtumie yeye mwenye,” amesema Rais  Magufuli

Alitumia nafasi hiyo kutoa pole kwa familia, mke wa marehemu na  watoto huku akibainisha kuwa Kijazi alikuwa mtu mwenye upendo mkubwa na alimpenda Mungu na siku za Jumapili hakukosa kanisani.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Rais Magufuli Ataja Sababu za Kuendelea Kumteua Balozi Kijazi
Rais Magufuli Ataja Sababu za Kuendelea Kumteua Balozi Kijazi
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5f3OinES_20TYF8sVGFVgUL_v8XqzDMbxkOBMpulHOhm_LTWkowMLjWGljYXOsRKpF-AOdEP50co-mlejD3_RAn_gW0kkitkN3obgeBUu_RUZCUqkHx8HiKmAL-NfvuFWMUY_SXLS7anh/s0/Euk8-qnXEAAr6Yv-660x400.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5f3OinES_20TYF8sVGFVgUL_v8XqzDMbxkOBMpulHOhm_LTWkowMLjWGljYXOsRKpF-AOdEP50co-mlejD3_RAn_gW0kkitkN3obgeBUu_RUZCUqkHx8HiKmAL-NfvuFWMUY_SXLS7anh/s72-c/Euk8-qnXEAAr6Yv-660x400.jpeg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/rais-magufuli-ataja-sababu-za-kuendelea.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/rais-magufuli-ataja-sababu-za-kuendelea.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy