NYOTA SABA WA YANGA HATIHATI KUUKOSA MCHEZO WA KOMBE LA SHIRIKISHO
HomeMichezo

NYOTA SABA WA YANGA HATIHATI KUUKOSA MCHEZO WA KOMBE LA SHIRIKISHO

KUELEKEA kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ikiwa ni hatua ya 32 bora kuna hatihati ya nyota saba wa Yanga kuukosa mchezo huo. Ikiwa i...



KUELEKEA kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ikiwa ni hatua ya 32 bora kuna hatihati ya nyota saba wa Yanga kuukosa mchezo huo.

Ikiwa inaongoza Ligi Kuu Bara na pointi zake 49 baada ya kucheza jumla ya mechi 21 ina kazi ya kuanza kulifukuzia taji la Kombe la Shirikisho ambalo lipo mikononi mwa Simba.

Februari 27 Yanga ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Ken Gold SC saa 1:00 usiku Uwanja wa Mkapa.

Miongoni mwa nyota ambao wanaweza kukosekana ni pamoja na mshambuliaji wao Yacouba Songne ambaye anasumbuliwa na maumivu ya misuli ambayo aliyapata kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi, visiwani Zanzibar.

Abdalah Shaibu,'Ninja' beki wa kati, Ramadhan Kabwili, kipa namba tatu wa Yanga,Tonombe Mukoko alipata maumivu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar.

Kwa mujibu wa daktari wa Yanga hawa wapo fiti na wameanza mazoezi mepesi hivyo ni jukumu la Kocha Mkuu, Cedric Kaze kuamua kuwatumia kwenye mchezo huo.

Wengine ambao bado hawajarejea kwenye ubora ni pamoja na Said Ntibazonkiza, Dickson Job na Balama Mapinduzi,” amesema Naahumu Muganda.






Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: NYOTA SABA WA YANGA HATIHATI KUUKOSA MCHEZO WA KOMBE LA SHIRIKISHO
NYOTA SABA WA YANGA HATIHATI KUUKOSA MCHEZO WA KOMBE LA SHIRIKISHO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhLSvgkR_ZS3Fye5VfS9LSHQoTMEdq571jnL2sVr53ySEjnlRgFt7s8Ybt8A-Sj9oU5URACcCbqJsIunK1CxOWbF8vsTTWpjPfvZYB-UrozmT1iooYDs1JD_noUfAcZV7lUjQO8Xk8UhdIF/w514-h640/kabwili.PNG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhLSvgkR_ZS3Fye5VfS9LSHQoTMEdq571jnL2sVr53ySEjnlRgFt7s8Ybt8A-Sj9oU5URACcCbqJsIunK1CxOWbF8vsTTWpjPfvZYB-UrozmT1iooYDs1JD_noUfAcZV7lUjQO8Xk8UhdIF/s72-w514-c-h640/kabwili.PNG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/nyota-saba-wa-yanga-hatihati-kuukosa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/nyota-saba-wa-yanga-hatihati-kuukosa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy