DAVID MOYES:TULISTAHILI KUFIKA HATUA YA PENALTI FA
HomeMichezo

DAVID MOYES:TULISTAHILI KUFIKA HATUA YA PENALTI FA

 DAVID Moyes, Kocha Mkuu wa West Ham United amesema kuwa wakati wakichapwa bao 1-0 dhidi ya Manchester United mchezo wa Kombe la FA wali...




 DAVID Moyes, Kocha Mkuu wa West Ham United amesema kuwa wakati wakichapwa bao 1-0 dhidi ya Manchester United mchezo wa Kombe la FA walistahili kufika Kwenye hatua ya kupigiana penalti.

Moyes amesisitiza kuwa majeruhi wa kikosi cha kwanza ndani ya West Ham United yamewapa nguvu Manchester United kupata ushindi kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Old Trafford. 

Bao la Scott McTominay katika muda wa nyongeza baada ya dakika 90 za awali kukamilika bila mshindi kupatikana liliwaondoa jumlajumla West Ham United kwenye mbio za kuweza kutinga hatua ya robo fainali na lilipachikwa dakika ya 97.

Kocha huyo amesema kwenye muda wa nyongeza uliotolewa walitakiwa kufanya mambo mawili kutumia nafasi ambazo wamezipata ama kulinda wasifungwe ila kwa kuwa wapinzani wao walikuwa imara ikawa ngumu kwao kushinda jambo lililowaondoa mapema.

"Ninawapongeza wachezaji wangu wamepambana na kuonyesha ushindani, haikuwa rahisi ila majeruhi kwenye kikosi changu yamechangia nishindwe kupata ushindi.

"Kwenye muda wa nyongeza tulikuwa na nafasi mbili ila tulishindwa kuzigeuza kuwa bao na mwisho wa siku wapinzani wetu wamepata nafasi wakaitumia ingekuwa tumekazana tangu mwanzo tulikuwa na nafasi ya kufika kwenye hatua ya penalti," .



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: DAVID MOYES:TULISTAHILI KUFIKA HATUA YA PENALTI FA
DAVID MOYES:TULISTAHILI KUFIKA HATUA YA PENALTI FA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMy4dDfS_Kvx_nyRWdQUXyCHlVlqXVTcJhPA7ftwzk0jE7YJD2zSNAMT2xyob9xKdOKrfHxPLugDQx0SO6kdaG0Bi4qy1G9YhM-tTJgF38dt2VX1Ib3jkcWLYN8sUy9EIZCzrZ_5V5IIyU/w640-h452/Issa+na+Moyes.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMy4dDfS_Kvx_nyRWdQUXyCHlVlqXVTcJhPA7ftwzk0jE7YJD2zSNAMT2xyob9xKdOKrfHxPLugDQx0SO6kdaG0Bi4qy1G9YhM-tTJgF38dt2VX1Ib3jkcWLYN8sUy9EIZCzrZ_5V5IIyU/s72-w640-c-h452/Issa+na+Moyes.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/david-moyestulistahili-kufika-hatua-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/02/david-moyestulistahili-kufika-hatua-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy