Watu wapatao 18 wamefariki nchini Sudan Kusini
Ghasia za kisiasa huko Sudan Kusini zapelekea watu kukosa makazi
HomeMatukio

Watu wapatao 18 wamefariki nchini Sudan Kusini

Ghasia za kisiasa huko Sudan Kusini zapelekea watu kukosa makazi  Watu wasiopungua 18 waliuwawa katika mgogoro wa silaha uliozuk...

 Watu wasiopungua 18 waliuwawa katika mgogoro wa silaha uliozuka Alhamis usiku kwenye eneo la Protection of Civilians katika mji wa Malakar nchini Sudan Kusini.
Vifo hivyo vimewahusisha wafanyakazi wawili wa kundi la Madaktari wasio na mipaka-MSF waliopo Sudan Kusini ambao walishambuliwa katika nyumba zao, taasisi hiyo ilisema.

Timu zilifanya kazi usiku kucha kuwahudumia majeruhi 36 kwenye hospitali ya MSF mjini Malakar  ilisema wagonjwa wasiopungua 25 walikuwa na majeraha ya risasi na wanane walihitajika kufanyiwa upasuaji. Maiti zaidi zinaendelea kuwasili hospitalini hapo.
Ghasia hizi awali ziliwalazimisha kiasi cha watu 600 wengi wanawake na watoto kukusanyika ndani ya hospitali.

Familia zinaishi kwenye mahema kutokana na ghasia za kisiasa
Familia zinaishi kwenye mahema kutokana na ghasia za kisiasa
 
Watu wamepatiwa makazi ya muda katika Protection of Civilians katika mji wa malakar tangu mzozo ulipozuka katika eneo mwezi Disemba mwaka 2013. Idadi ya watu wasiokuwa na makazi imeongezeka kufikia 40,000 kufuatia mmiminiko wa watu 10,000 waliokoseshwa makazi mwezi April mwaka 2015 na zaidi ya watu 16,000 waliokoseshwa makazi mwezi Julai na Agosti mwaka jana.

Wengi wanakuja kutoka maeneo ambayo hayakupata msaada kwa miezi kadhaa wanawasili bila vifaa vyovyote.
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Watu wapatao 18 wamefariki nchini Sudan Kusini
Watu wapatao 18 wamefariki nchini Sudan Kusini
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFLg7PwCG0JiDU_DF0oi6aWAgPORBmmq5leU4VtyzIwgLQJtBi7LHveJcD_MH9a-mQQ4x85_og5dMuUTG52gOl40GGdMXcwRRAfJ-VcIfY6KTO4xULh6mn5r093e0xxzkzjCId_qCZonU6/s640/AFB4ECC8-A206-46B4-A3E3-07F5AED6DE79_w640_r1_s.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFLg7PwCG0JiDU_DF0oi6aWAgPORBmmq5leU4VtyzIwgLQJtBi7LHveJcD_MH9a-mQQ4x85_og5dMuUTG52gOl40GGdMXcwRRAfJ-VcIfY6KTO4xULh6mn5r093e0xxzkzjCId_qCZonU6/s72-c/AFB4ECC8-A206-46B4-A3E3-07F5AED6DE79_w640_r1_s.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2016/02/watu-wapatao-18-wamefariki-nchini-sudan.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2016/02/watu-wapatao-18-wamefariki-nchini-sudan.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy