Tanzania kupambana na ukatili wa Albino
Wafanyakazi wa BBC wakiwa kazini,Tulanana Bohela wa Focus on Africa na Halima Nyanza wa BBC Swahili wakimhoji waziri wa mambo ya ndani Mathias Chikawe.
HomeHabariKitaifa

Tanzania kupambana na ukatili wa Albino

Wafanyakazi wa BBC wakiwa kazini,Tulanana Bohela wa Focus on Africa na Halima Nyanza wa BBC Swahili wakimhoji waziri wa mambo ya ndani ...


 Serikali ya Tanzania imeunda kikosi maalumu kwa ajili ya kupambana na vitendo vya ukatili wanaofanyiwa watu wenye ulemavu wa ngozi –Albino- na huku ikitangaza pia kupiga marufuku kuanzia leo wapiga ramli wote ambao wanaelezwa kuchangia mauaji ya watu hao.

Waziri wa Mambo ya Ndani Mathias Chikawe Ameitaja mikoa inayotarajiwa kuanza kwa operesheni maalum ya kupambana na vitendo vya ukatili dhidi ya walemavu katika juhudi za kukomesha kabisa matukio hayo, ambayo yameelezwa kuanza kuibuka tena.

Mikoa hiyo ni Mwanza, Simiyu, Geita, Tabora na Shinyanga.Operesheni hiyo pia inatarajiwa kuendelea katika mikoa mingine.Aidha amesema operesheni hiyo itaanza baada ya wiki mbili kwa ushirikiano wa polisi na wawakilishi kutopka chama cha watu wenye ulemavu Tanzania.

Kazi ya kikosi hicho ni pamoja na kupitia pia kesi zote zilizowahi kufikishwa mahakamani kuhusiana na vitendo hivyo.kizungumzia kuhusiana na kupigwa marufuku kwa wapiga ramli nchi nzima, Waziri Chikawe amesema jeshi la polisi litaandaa operesheni maalum kuwatafuta na kuwashtaki.

Amesema wapiga ramli hao wanajulikana na wananchi wanaomba kusaidia kuwatambua.
Aidha amewataka wananchi kutoa ushirikiano katika kufanikisha zoezi hilo zima, ikiwemo pia kuyataka madhehebu ya dini mbalimbali na mashirika ya kijamii kutoa elimu juu ya jambo hilo.Sababu kubwa iliyotajwa inayosababisha watu kutafuta viungo hivyo vya binadamu inaelezwa kuwa ni kupata utajiri.
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Tanzania kupambana na ukatili wa Albino
Tanzania kupambana na ukatili wa Albino
http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/13/150113151928_albino_640x360_bbc_nocredit.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2015/01/tanzania-kupambana-na-ukatili-wa-albino.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2015/01/tanzania-kupambana-na-ukatili-wa-albino.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy