Ummy Azindua Bodi Ya Wadhamini MSD

WAZIRI wa Afya, Mhe.Ummy Mwalimu  Julai 25,2022 amezindua Bodi Mpya ya Wadhamini ya Bohari ya Dawa (MSD) ambapo ameiagiza kuhakikisha ina...


WAZIRI wa Afya, Mhe.Ummy Mwalimu  Julai 25,2022 amezindua Bodi Mpya ya Wadhamini ya Bohari ya Dawa (MSD) ambapo ameiagiza kuhakikisha inaendelea kufanya kazi kwa weledi.

Akizungumza wakati akizindua Bodi hiyo leo katika Ofisi za MSD Jijini Dar es Salaam amesema bodi hiyo inatakiwa ifanye kazi kuzingatia sheria huku wakisimamia uwekaji wa mifumo mizuri ya usimamizi na usambazaji wa dawa nchini.

Waziri Ummy ameipa jukumu la kuhakikisha inasimamia suala la kupangua safu ya uongozi pamoja na wafanyakazi wa MSD ili utendaji kazi uimarike.

Amesema kuwa MSD ilifanya kazi vizuri na kuaminiwa na nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), hivyo ameagiza kurudishwa kwa mifumo ya TEHAMA iliyosaidia kudhibiti mianya ya ubadhirifu ndani ya taasisi hiyo.

“Watu wanategemea kuona ufanisi wake,sisi tutawapima bodi kwa utendaji wenu kama dawa zinawafikia wananchi maeneo yanayotakiwa.Ila pia muangalia kama ni kuifumua nyie mtaangalia tunachotaka ni kuona mabadiliko ya kiutendaji ndani ya MSD,”Amesema Waziri Ummy.

Nae Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wadhamini ya Bohari ya Dawa Tanzania (MSD), Bi.Rosemary Silaa ameahidi bodi hiyo mpya kuwa bodi hiyo inaanza kazi rasmi ya kuisuka upya MSD.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends

COMMENTS

BLOGGER
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,2861,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Ummy Azindua Bodi Ya Wadhamini MSD
Ummy Azindua Bodi Ya Wadhamini MSD
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgFZ-Yu2jwHOG5HNPCXpRsPSj8hdjhgDTJL8Xtq1ft6uPW6s5XhC7l36M36srK8HXl78_j6uLerFnbzGbfh5lQHyQase7-Qyk0NDzhkk0MVXUD1ggcZ2nss44vGmYeISSDf0SE4sXqAqcFpK12oFwEHgd0YoUh6k13WqRvGs-Q_kdqDea7xQxcT_aoFVA/s16000/WhatsApp-Image-2022-07-25-at-2.22.38-PM.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgFZ-Yu2jwHOG5HNPCXpRsPSj8hdjhgDTJL8Xtq1ft6uPW6s5XhC7l36M36srK8HXl78_j6uLerFnbzGbfh5lQHyQase7-Qyk0NDzhkk0MVXUD1ggcZ2nss44vGmYeISSDf0SE4sXqAqcFpK12oFwEHgd0YoUh6k13WqRvGs-Q_kdqDea7xQxcT_aoFVA/s72-c/WhatsApp-Image-2022-07-25-at-2.22.38-PM.jpg
Antagon Blog
http://antagonf.blogspot.com/2022/07/ummy-azindua-bodi-ya-wadhamini-msd.html
http://antagonf.blogspot.com/
http://antagonf.blogspot.com/
http://antagonf.blogspot.com/2022/07/ummy-azindua-bodi-ya-wadhamini-msd.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy