Alex Msama apewa tuzo ya Heshima na CHAMUITA
HomeHabariTop Stories

Alex Msama apewa tuzo ya Heshima na CHAMUITA

Mkurugenzi wa Msama Promotions Alex Msama amepewa tuzo ya Heshima na Chama cha Muziki wa Injili nchini (CHAMUITA) kama Muandaaji Bora wa mat...

MSD yatakiwa kusimamia uendeshaji wa viwanda vya bidhaa za afya nchini
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 20, 2025
Naibu waziri Kapinga awataka Pura kuongeza juhudi 

Mkurugenzi wa Msama Promotions Alex Msama amepewa tuzo ya Heshima na Chama cha Muziki wa Injili nchini (CHAMUITA) kama Muandaaji Bora wa matamasha ya nyimbo za Injili muda wote kuinua na kusapoti muziki huo pamoja kusapoti wasanii wadogo

Akizungumza baada ya kupokea tuzo hiyo kutoka kwa Rais wa chama muziki wa injili Tanzania CHAMUITA Ndugu Ado November Msama amesema kuwa anashukuru kwa tuzo ya heshima aliyopewa na anahamini itazidi kumpa chachu ya kuendeleza na kuzidi kuinua muziki huo.

“Nimetoka mbali nimefanya kazi nyingi sana nilikuwa dereva, nimebeba mizigo Kariakoo lakini kubwa ni kutangaza kazi za waimbaji wa nyimbo za Injili, nashukuru kwa kutambua Mchango na juhudi zangu katika kutangaza muziki wa Injili.

“Nitaendelea kusapoti Muziki wa Injili na kuzidi kuinua na kuwapa ushirikiano wasanii wachanga wa muziki huo kama nilivyoshirikiana na kuwasapati waimbaji wakubwa hapa nchini na sasa nitahakikisha tunawatambulisha kina Rose Muhando, Boniface Mwaitege na Bahati Bukuku wengine.”amesema Msama

Pia ameongeza kuwa tuzo aliyopewa sio ya Msama peke yake bali ni tuzo ya mashabiki wote na wapenzi wa muziki wa Injili nchini na nje ya nchini.

“Niwahakikishie watanzania kujiandaa na Tamasha la Pasaka litafanyika kwa kishindo na kama mnavyoona huu ni mwanzo na naendea kuupambania Muziki wa Kumtukuza Mungu.

Aidha amewataka wasanii wa nyimbo za Injili kujitofautisha na wasanii wa Bongo fleva kwa kuwa wao wanamsifu Mungu na kuacha tamaa ya vitu vya duniani wamtumikie Mungu.

Kwa upande wake Rais wa Chama cha Muziki wa Injili Tanzania Ado Novemba amesema kuwa ni kwa Muda mrefu tumekuwa tukifanya kazi na Msama Leo tumetambua Mchango wake muhimu katika Tasnia hiyo.

Miongoni mwa wasanii waliopata tuzo hizo za heshima za kuupigania muziki huo wa Injili ni pamoja na Msanii Malkia wa nyimbo za Injili Rose Muhando pamoja na Cosmas Chidumule aliyekuwa akiimba muziki wa dansi na kuamia kumrudia Mungu na sasa anaimba wimbo wa Injili.

The post Alex Msama apewa tuzo ya Heshima na CHAMUITA first appeared on Millard Ayo.



from Millard Ayo https://ift.tt/1lIZuWz
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Alex Msama apewa tuzo ya Heshima na CHAMUITA
Alex Msama apewa tuzo ya Heshima na CHAMUITA
https://millardayo.com/wp-content/uploads/2025/01/ce12fc3c-7de1-49ff-8dda-4dba3ad54029-713x950.jpeg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2025/01/alex-msama-apewa-tuzo-ya-heshima-na.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2025/01/alex-msama-apewa-tuzo-ya-heshima-na.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy