Tuwatoe hofu uchaguzi utakuwa wa huru na wahaki:Waziri Lukuvi
HomeHabariTop Stories

Tuwatoe hofu uchaguzi utakuwa wa huru na wahaki:Waziri Lukuvi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) William Lukuvi amesema serikali imejipanga kuandaa mazingira bora ya uchaguzi ...

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge na Uratibu) William Lukuvi amesema serikali imejipanga kuandaa mazingira bora ya uchaguzi kwa vyama vyote vya siasa nchini kuwa dhamira ya serikali ya awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassani ni kuhakikisha chaguzi zote zitakazofanyika nchini kuwa zinazingatia misingi ya demokrasia.

Waziri Lukuvi ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa anafanya ziara kwenye vyama vya siasa kwa lengo la kujitambulisha baada ya kuteuliwa kuiongoza wizara hiyo.

 

“Nataka niwatoe hofu vyama vyote 19 kuwa kwenye uchaguzi ujao chini ya Rais Samia utakuwa huru na wa haki,” amesema Lukuvi.

Waziri Lukuvi amevitaka vyama vyote vitakavyoshiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa kujiandaa kushindana kwa sera ili wananchi waamue.

Aidha , Waziri Lukuvi amesema lengo la ziara hiyo ni ya kujitambulisha mara baada ya kuteuliwa nafasi hiyo.

Amesema katika wizara yake anasimamia (Sera, Bunge na Uratibu) moja ya majukumu ni kuvisimamia vyama vya siasa hivyo atavitembelea vyama vyote 19.

Katika ziara hiyo waziri lukuvi aliambatana na Msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi pamoja na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wamesema ziara hiyo itaongeza hamasa ya ushirikiano

Mwenyekiti wa chama cha CHAUMA Hashim rungwe amempongeza Waziri Lukuvi kwa kufanya ziara hiyo na kuahidi kutoa ushirikiano katika chaguzi za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

The post Tuwatoe hofu uchaguzi utakuwa wa huru na wahaki:Waziri Lukuvi first appeared on Millard Ayo.



from Millard Ayo https://ift.tt/hY8BObJ
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Tuwatoe hofu uchaguzi utakuwa wa huru na wahaki:Waziri Lukuvi
Tuwatoe hofu uchaguzi utakuwa wa huru na wahaki:Waziri Lukuvi
https://millardayo.com/wp-content/uploads/2024/10/IMG-20241008-WA0000-950x950.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2024/10/tuwatoe-hofu-uchaguzi-utakuwa-wa-huru.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2024/10/tuwatoe-hofu-uchaguzi-utakuwa-wa-huru.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy