Miradi ya kimkakati kuendelea kukamilishwa 2022/2023

Serikali imesema katika mwaka wa fedha wa 2022/2023 itaendelea kukamilisha miradi ya kielelezo na ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa k...


Serikali imesema katika mwaka wa fedha wa 2022/2023 itaendelea kukamilisha miradi ya kielelezo na ya kimkakati inayoendelea kutekelezwa katika maeneo mbalimbali nchini, ambayo inatarajiwa kuwa na matokeo mapama ya haraka katika uchumi wa Taifa.

  Kauli hiyo ya Serikali imetolewa bungeni jijini Dodoma na Waziri Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba wakati akiwasilisha Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2021 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.
Amesema miradi hiyo ya kielelezo na ya kimkakati inatarajiwa kuzalisha ajira, kuongeza kipato pamoja na kupunguza hali ya umaskini nchini.

  Dkt. Mchema ameitaja miradi hiyo kuwa pamoja na ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kisasa (SGR), mradi wa kufua umeme wa maji wa Julius Nyerere, kuboresha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) na mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia kuwa kimiminika (LNG) huko mkoani Lindi.

  Waziri huyo wa Fedha na Mipango ameongeza kuwa miradi ya kipaumbele kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023 itaendelea kuzingatia maeneo matano ya kipaumbele ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa miaka mitano kuanzia mwaka 2021/2022 hadi 2025/2026.




Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends

COMMENTS

BLOGGER
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Miradi ya kimkakati kuendelea kukamilishwa 2022/2023
Miradi ya kimkakati kuendelea kukamilishwa 2022/2023
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg6RKVY-ywThwAuaw7ield8tGvxWJ7OyEIuOfkbGTt5ibnk4QKCETjnqlWuLQwCONvSRpZjTboKeYYjZ0OeiWF_ZgaMgLIBgipA4LSxAOyh25zbZtA2pZ_vJzv4d4ONS8DAWnhEviU0ly-zp1-u02oRCeOYP22ZpCVljx8Kl-EomUuJM9m3e7OaQ-HREw/s16000/IMG_20220615_061333.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg6RKVY-ywThwAuaw7ield8tGvxWJ7OyEIuOfkbGTt5ibnk4QKCETjnqlWuLQwCONvSRpZjTboKeYYjZ0OeiWF_ZgaMgLIBgipA4LSxAOyh25zbZtA2pZ_vJzv4d4ONS8DAWnhEviU0ly-zp1-u02oRCeOYP22ZpCVljx8Kl-EomUuJM9m3e7OaQ-HREw/s72-c/IMG_20220615_061333.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/06/miradi-ya-kimkakati-kuendelea.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/06/miradi-ya-kimkakati-kuendelea.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy