Rais Samia atoa utaratibu kuondoa ucheleweshwaji mafao ya wastaafu
HomeHabari

Rais Samia atoa utaratibu kuondoa ucheleweshwaji mafao ya wastaafu

Rais Samia Suluhu Hassan amewaagiza waajiri kuaandaa malipo ya wastaafu wanaotarajia kustaafu kabla ya mtumishi kuondoka ofsini. Amesem...

Kila Mwananchi Kupata Nafasi Ya Kuuaga Mwili ya Hayati Dr Magufuli- Chato
Live:Mwili Wa Hayati Magufuli Ukiagwa Na Wananchi Wa Chato
Mwanza Yazizima.....Vilio,huzuni,simanzi Vyatawala Mapokezi Ya Mwili Wa Hayati Dkt.Rais Magufuli


Rais Samia Suluhu Hassan amewaagiza waajiri kuaandaa malipo ya wastaafu wanaotarajia kustaafu kabla ya mtumishi kuondoka ofsini.

Amesema hakuna sababu ya watumishi kuendelea na usumbufu wa kusubiri mtandao kwa kuwa taarifa za mtumishi zinajulikana kwa mwajiri miezi sita kabla ya mfanyakazi kustaafu.

“Naagiza ndani ya kipindi cha miezi sita, maafisa raslimali watu wanapaswa kushughulikia taarifa za mtumishi. Mifuko nayo ifanye uhakiki wa malipo ya mfanyakazi kuepusha mizunguko,” amesema Rais Samia

Mwaka jana serikali ilitenga jumla ya Sh trilioni 2.17 kwa ajili ya kulipa deni la mafao kwa wanachama waliorithiwa kutoka uliokuwa mfuko wa pensheni wa PSPF na LAPF.

Kujenga mfumo wa kielektroniki uliounganishwa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA, Malipo ya mafao yameanza kufanyika ndani ya siku 60.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Rais Samia atoa utaratibu kuondoa ucheleweshwaji mafao ya wastaafu
Rais Samia atoa utaratibu kuondoa ucheleweshwaji mafao ya wastaafu
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgkAqkbeLFEduZhrFd_PFRt49qWTcLBDt-SzU_GLBhXhXEugvzC2TG4GFUi53FqPw6uuOBfk-KV6-VZ9MK9MEgsVrW2stMFFYbl96Z-rNE3pmezwn-1Vo5Vuh0gS0Fo06eCXBosCVvxNhFRFo9sl3RRRZW5VVyqZ2Vx7XGWoPFvqwH90AJSBQKdIGV_mQ/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgkAqkbeLFEduZhrFd_PFRt49qWTcLBDt-SzU_GLBhXhXEugvzC2TG4GFUi53FqPw6uuOBfk-KV6-VZ9MK9MEgsVrW2stMFFYbl96Z-rNE3pmezwn-1Vo5Vuh0gS0Fo06eCXBosCVvxNhFRFo9sl3RRRZW5VVyqZ2Vx7XGWoPFvqwH90AJSBQKdIGV_mQ/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/05/rais-samia-atoa-utaratibu-kuondoa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/05/rais-samia-atoa-utaratibu-kuondoa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy