Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge yaomba Bil 148 kwenye Bajeti 2022/2023
HomeHabari

Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge yaomba Bil 148 kwenye Bajeti 2022/2023

Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi zilizo chini yake imeomba bunge kuidhisha jumla ya shilingi bilioni mia moja arobaini na nane, milioni mi...


Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi zilizo chini yake imeomba bunge kuidhisha jumla ya shilingi bilioni mia moja arobaini na nane, milioni mia nane tisini na mbili, laki tano na elfu hamsini na tatu (148,892,553,000) kwenye bajeti ya mwaka wa fedha wa 2022/2023.

Kati ya fedha hizo shilingi bilioni mia moja na moja, milioni mia tatu na sitini na tano, laki tatu na elfu tisini na nane (101,365,398,000) ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shilingi Bilioni Arobaini na Saba, Milioni Mia Tano Ishirini na Saba, Laki Moja na Elfu Hamsini na Tano (47,527,155,000) ni kwa ajili ya maendeleo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameliomba Bunge liidhinishe jumla ya shilingi 132,728,638,000.00 kwa ajili ya Mfuko wa Bunge ambapo kati ya fedha hizo shilingi 127,328,638,000.00 ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na shilingi 5,400,000,000.00 ni kwa ajili ya Maendeleo.

Waziri Mkuu alikuwa akiwasilisha Bungeni jijini Dodoma Mapitio na Mwelekeo wa kazi za Serikali pamoja na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge yaomba Bil 148 kwenye Bajeti 2022/2023
Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge yaomba Bil 148 kwenye Bajeti 2022/2023
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjc3McY__x5TDRxdBLX9sgX8bShk7P9gG31XNLDlQDeEGcB-uu4MtxAV9ghAQGHewlWoDOGdFlfxKH8nglwjClUXzs8ptdyR7472k1FMptJBjO7APiSPjfTmfHcVuw3kujWyeCJv4qRU2xZLIEN0u_nBjNYN0L-vaflh1Vqz74ok2IuzqSPdESvZ1fgvQ/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjc3McY__x5TDRxdBLX9sgX8bShk7P9gG31XNLDlQDeEGcB-uu4MtxAV9ghAQGHewlWoDOGdFlfxKH8nglwjClUXzs8ptdyR7472k1FMptJBjO7APiSPjfTmfHcVuw3kujWyeCJv4qRU2xZLIEN0u_nBjNYN0L-vaflh1Vqz74ok2IuzqSPdESvZ1fgvQ/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/04/ofisi-ya-waziri-mkuu-na-bunge-yaomba.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/04/ofisi-ya-waziri-mkuu-na-bunge-yaomba.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy