Waziri Mulamula Apokea Nakala Za Hati Za Utambulisho Za Balozi Wa Malawi
HomeHabari

Waziri Mulamula Apokea Nakala Za Hati Za Utambulisho Za Balozi Wa Malawi

Na Waandishi wetu, Dar Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amepokea nakala ya Hati z...


Na Waandishi wetu, Dar

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amepokea nakala ya Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Malawi nchini Mhe. Andrew Kumwenda leo katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam

Baada ya kupokea nakala ya hati hizo Balozi Mulamula amemuahidi Balozi mteule ushirikiano katika utekelezaji wa majukumu yake ya kibalozi wakati wote atakaokuwepo nchini.

“Leo nimepokea nakala ya hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Malawi na tumefarijika kwa Mhe. Rais Chakwera kumteua Balozi huyu mara baada ya Balozi wa awali kumaliza muda wake wa uwakilishi, hii ni ishara ya uhusiano wa karibu, undugu na urafiki uliopo baina ya Tanzania na Malawi,” amesema Balozi Mulamula

Kwa upande wake Balozi Mteule wa Malawi Mhe. Andrew Kumwenda amesema kuwa Malawi na Tanzania siku zote zimekuwa na uhusiano mzuri wa kidiplomasia na jukumu langu hapa kama Balozi ni kuhakikisha uhusiano huu unazidi kuku ana kuimarika.

“Tanzania inatekeleza Diplomasia ya Uchumi na vivyo hivyo Malawi………kwa hiyo sisi wote tuna lengo moja, na nitahakikisha Tanzania na Malawi zinashirikiana kufanya biashara na uwekezaji kwa maslahi ya pande mbili,” Amesema Balozi Kumwenda.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waziri Mulamula Apokea Nakala Za Hati Za Utambulisho Za Balozi Wa Malawi
Waziri Mulamula Apokea Nakala Za Hati Za Utambulisho Za Balozi Wa Malawi
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgWd16GXhd3I5aS8H7HkD8FUnaUXFKthDzVpCwEaVmDnO5enzfHoA6updWbdBdfH3g23dXOBhBn6MUxuYKef1XFbtKbxxouJrkDufzc4SQmKlP0XYRbdSGg1Kkym7qljIqjeB9Yp62-07iwPnxfsZIGS2aeHzYUucPzp0cikOrhSwpNNk4gOD1rh2VSaw=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgWd16GXhd3I5aS8H7HkD8FUnaUXFKthDzVpCwEaVmDnO5enzfHoA6updWbdBdfH3g23dXOBhBn6MUxuYKef1XFbtKbxxouJrkDufzc4SQmKlP0XYRbdSGg1Kkym7qljIqjeB9Yp62-07iwPnxfsZIGS2aeHzYUucPzp0cikOrhSwpNNk4gOD1rh2VSaw=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/waziri-mulamula-apokea-nakala-za-hati.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/waziri-mulamula-apokea-nakala-za-hati.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy