Washtakiwa kesi ya mauaji Mtwara wamkana wakili
HomeHabari

Washtakiwa kesi ya mauaji Mtwara wamkana wakili

Washtakiwa saba wa kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini ambao ni maofisa wa polisi mkoani hapa, wamesema hawakuwahi kuingia mkataba...


Washtakiwa saba wa kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini ambao ni maofisa wa polisi mkoani hapa, wamesema hawakuwahi kuingia mkataba na wakili yeyote wa utetezi, ila muda mwafaka ukifika watafanya hivyo.

Washtakiwa hao walieleza hayo katika Mahakama ya Hakimu mkazi Mtwara juzi ambapo kesi hiyo ilifika kwa ajili ya kutajwa, mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Makahama hiyo, Lugano Kasebele.

Mshtakiwa wa kwanza katika kesi hiyo, aliyekuwa Mkuu wa upelelezi Wilaya ya Mtwara, Gilbert Kalanje aliieleza Mahakama hiyo kuwa yeye binafsi hajawahi kuingia mkataba na wakili yeyote.

“Mheshimiwa hakimu katika kumbukumbu zako naomba ieleweke kwamba mimi kama mshtakiwa namba moja, sijawahi kuingia mkataba wala kuongea na wakili yeyote, ikifika muda mwafaka nitafanya hivyo, vilevile tunaomba tupatiwe hati ya mashtaka,” alisema Kalanje.

Mara baada ya kusema hivyo, washtakiwa wengine wote nao waliieleza Mahakama hiyo kuwa hawajawahi kuingia mkataba na wakili yeyote.

Kalanje alitoa ufafanuzi huo mara baada ya hakimu Kasebele kuaihirisha kesi hiyo hadi Machi 22, 2022 itakapotajwa tena.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuahirisha kesi hiyo, Hakimu Kasebele alisema kauli ya washtakiwa hao imeisaidia Mahakama kujua kuwa hawakuwahi kuwa na wakili yeyote.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Washtakiwa kesi ya mauaji Mtwara wamkana wakili
Washtakiwa kesi ya mauaji Mtwara wamkana wakili
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiQWKM9wo1TsyTnl7VZuf-ZgPYVI_aqthTVYePdkrRfKw0Qlel1PjVI-lPvGt9M4kJwSiF-AIWlQd49d4jJU0sFuWCgm80R_8xaal2GEtNW0AMCkMjW-znjSxVQQHC5R-6aadCkmoTggQ4qWYAwa62lY4GzWgPrVg0slW7mTjTF8hrfVsG76Epc3bNGPw=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiQWKM9wo1TsyTnl7VZuf-ZgPYVI_aqthTVYePdkrRfKw0Qlel1PjVI-lPvGt9M4kJwSiF-AIWlQd49d4jJU0sFuWCgm80R_8xaal2GEtNW0AMCkMjW-znjSxVQQHC5R-6aadCkmoTggQ4qWYAwa62lY4GzWgPrVg0slW7mTjTF8hrfVsG76Epc3bNGPw=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/washtakiwa-kesi-ya-mauaji-mtwara.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/washtakiwa-kesi-ya-mauaji-mtwara.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy