Tanzania irelanf kuimarisha ushirikiano
HomeHabari

Tanzania irelanf kuimarisha ushirikiano

Tanzania na Ireland zimeahidi kuendeleza uhusiano na ushirikiano uliopo baina ya nchi hizo kwa manuufaa ya pande zote mbili Waziri wa M...


Tanzania na Ireland zimeahidi kuendeleza uhusiano na ushirikiano uliopo baina ya nchi hizo kwa manuufaa ya pande zote mbili

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) ametoa ahadi hiyo aliposhiriki katika maadhimisho ya Siku ya Mtakatifu Patrick ambayo huadhimishwa na Jamhuri ya Ireland tarehe 17 ya kila mwaka.

Akizungumza katika maadhimisho ya siku hiyo Waziri wa Mulamula ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Ireland kwa kuendelea kuwa mdau mkubwa wa maendeleo wa Tanzania hasa katika Nyanja za kusaidia kaya masikini, elimu na kuwajengea uwezo wanawake na watoto wa kike nchini.

Amesema Serikali inathamini mchango wa Ireland kwa Tanzania na kusisitiza kuwa itaendeleza uhusiano na ushirikiano uliopo baina ya nchi hizo ili kufikia maendeleo ya kweli kwa pamoja.

Naye Balozi wa Ireland nchini Mhe. Mary O’Neil ameahidi kuendelea kuisaidia Tanzania katika jitihada za kuwaletea wananchi wake maendeleo.

Amepongeza ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Ireland na kuahidi kuendeleza ushirikiano huo kwa faida ya wananchi wa nchi zote.

Maadhimisho ya siku hiyo yamezinduliwa rasmi leo Tarehe 02 Machi 2022 jijini Dar es Salaam katika makazi ya Balozi wa Ireland nchini na kuhudhuriwa na Mabalozi na Wawakilishi wa Taasisi za Kimataifa wanaoziwakilisha nchi na Mashirika yao hapa nchini.

Siku ya Mtakatifu Patrick huadhimishwa kila ifikapo tarehe 17 Machi nchini Ireland kuadhimisha kuwasili kwa ukristo nchini humo na kusherehekea urithi wa utamaduni wa watu wa Ireland kwa ujumla.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Tanzania irelanf kuimarisha ushirikiano
Tanzania irelanf kuimarisha ushirikiano
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiw7ZsqbKkjJo2jysefp9AscBzoctE-mCqkyYj9J3ynMZskNxWPq9mh1AScx7MIiY43MiObM-FXzz7-nejtl7M88F9CXLJhgpushW2k7gE2aXAtbbNiniGHrk1ZoDRQb397Y5WjuQtwPjdZ7AuPF6x9fwJ-qJTWlONLe0TMuggUuGmbwMY0O6tw1FYi_Q=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiw7ZsqbKkjJo2jysefp9AscBzoctE-mCqkyYj9J3ynMZskNxWPq9mh1AScx7MIiY43MiObM-FXzz7-nejtl7M88F9CXLJhgpushW2k7gE2aXAtbbNiniGHrk1ZoDRQb397Y5WjuQtwPjdZ7AuPF6x9fwJ-qJTWlONLe0TMuggUuGmbwMY0O6tw1FYi_Q=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/tanzania-irelanf-kuimarisha-ushirikiano.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/tanzania-irelanf-kuimarisha-ushirikiano.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy