Jinsi Nilivyopambana Kuikabili Hali ya Mume Wangu Kutaman Wafanyakazi Wetu
HomeHabari

Jinsi Nilivyopambana Kuikabili Hali ya Mume Wangu Kutaman Wafanyakazi Wetu

 Ndoa yangu na mume wangu ilikua yenye kutamaniwa na wengi. Tuliishi mjini katika makao ya wafanyakazi wa Serikali ambapo mume wangu alik...


 Ndoa yangu na mume wangu ilikua yenye kutamaniwa na wengi. Tuliishi mjini katika makao ya wafanyakazi wa Serikali ambapo mume wangu alikua mhasibu serikalini.

Nilifanya kazi ya ususi Mjini Tabora ambapo nilikuwa na duka la kuuza bidhaa mbalimbali za kutia nakshi urembo. Hali ilikuwa shwari katika ndoa yetu.

Baada ya miaka miwili nilifanikiwa kupata mtoto wa kiume ambapo sasa hali ilianza kuwa ngumu kwani nilihitaji msaidizi pale nyumbani.

Nisingeweza kamwe kufanya kazi za usafi kwenye nyumba tulipokuwa tukiishi pia biashara yangu ambayo ilikuwa ndio kitega uchumi changu ingesimama iwapo ningetulia pale nyumbani tu baada ya kujifungua.

Nilipomweleza mume wangu kuwa nilikuwa katika mipango ya kutafuta binti wa kazi za ndani, alikubali maoni hayo bila ya pingamizi yeyote.

Baada ya wiki kadhaa nilifanikiwa kupata binti kwa jina Jenifer ambaye alikua msichana wa kati ya miaka kumi na nane hadi ishirini.

Alichapa kazi yake nyumbani vizuri bila kugombana wala kuleta vurugumechi. Hali ilikuwa shwari kwani nilipata nafasi ya kuendeleza biashara yangu mjini.

Ningechelewa kazini sikuwa na mashaka kwani nilijua fika kwamba pale nyumbani palikuwa na msaidizi .

Alikuwa ni binti ambaye hakupenda mazungumzo sana na mara nyingi mazungumzo yake ungeona kazi alizofanya. Alikuwa msichana mrembo ambae alikuwa katika uzuri wake kwani ilionekana wazi ndio ulikuwa wakati wake wa kukua.

Mume wangu hakuwa na shaka na binti  huyu kwani aliifurahia kazi aliyoichapa pale nyumbani. Tulimchukulia Jenifer  kama kifungua mimba wetu kwani hatukutaka kumchosha na kazi nyingi kwa wakati mmoja.

Wakati mwingine tulienda naye kutembea, mume wangu alimnunulia mavazi na pia kwa wakati mmoja tulifunga safari kwenda kuwatembelea wazazi wake.

Baada ya muda wa miezi mitatu tabia ya mume wangu ilianza kubadilika. Alianza kuwa karibu sana na Jenifer  jambo ambalo sikulifurahia kama mke mwenye boma.

Nilianza ugomvi na binti huyo kwa sababu ya jambo hilo lakini mume wangu alinifokea kila mara nisijue la kufanya. Nilifahamu fika kwamba ukaribu wa Jenifer  na mume wangu ungeleta uhusiano wa kimapenzi baina yao.

Tabia za mume wangu zilianza kubadilika kabisa kwani hata wakati mwingine alisusia kula chakula nilichokuwa nimekipika mimi mwenyewe kwa visingizio ambavyo sikuvielewa hata siku moja.

Kila wakati alitaka kula chakula ambacho binti wa kazi  amekipika. Tabia ile ilinichukiza na pia kunitilia shaka kuwa mume wangu alikua anamtamani kimapenzi  yule binti.

Kila wakati Jenifer  alileta chakula mezani, alimpa mume wangu tabasamu la kufa mtu na kila nlipomuliza mume wangu mbona alikua ameaza kubadilika alisema kuwa wivu niliokuwa nao utaniua siku moja.

Alinihakikishia kwamba hakuwa na urafiki wowote na Jenifer  lakini jinsi mambo yalivofanyika kwenye nyumba yetu nilijijazia kwamba lisemwalo lipo na kama halipo bila shaka lingefika.

Siku moja nilirejea nyumbani ghafla kwani nilikua nimesahau bidhaa fulani za ususi. Nilipofungua mlango nilimkuta  mume wangu yupo na Jenifer  kwenye chumba chetu cha kulala.

Kwa hakika kitu kilichokuwa kikifanyika gizani kilikiwa kimegunduliwa. Sikuwa na mengi ya kusema kwani nilimzaba Jenifer  makofi huku mume wangu akikimbia.

Siku iliyofuata nilimfukuza Jenifer  kutoka kwenye nyumba yetu kwani alikua kwenye harakati za kuvunja ndoa yangu. Mume wangu naye hakurudi nyumbani hadi siku 7

Nilitafuta binti  mwingine baada ya majuma matatu kupita. Tabia za mume wangu zilikuwa ni zilezile za kutamani mabinti nilokuwa naajiri pale nyumbani.

Nilipomweleza rafiki yangu Amina mambo niliyokuwa napitia alinielekeza kwa Dr. Ngoso  kwani alinieleza alisuluhisha mambo hayo kwa urahisi.

Siku iliyofuata nilimtafuta Dr Ngoso kwa namba yake ya simu na akanihudumia vizuri  kwa kunieleza nn cha kufanya.. . Baada ya siku mbili hivi tabia ya mume wangu ilikuwa imeanza kubadilika.

Hakuwa tena na ile tabia ya kutabasamu kwa binti  pale nyumbani. Baadaye alinambia  kuwa alikua amebadilika na hakuna siku nyingine atarudia. . Tuliishi kwa upendo na tangu siku ile sijawahi muona akiwa na binti wa kazi.

Najua huenda kuna mwingine anayepitia haya kama ilivyokuwa kwangu,naomba nikupe mawasiliano ya Daktari Ngoso ili uwasiliane naye na kutatua changamoto zako katika ndoa.

Wasiliana na Ngoso Doctors kwa nambari +254718756944.(Whatsapp).Barua pepe: doctorngoso@gmail.com na tuvuti yake ni https://doctorngoso.com



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Jinsi Nilivyopambana Kuikabili Hali ya Mume Wangu Kutaman Wafanyakazi Wetu
Jinsi Nilivyopambana Kuikabili Hali ya Mume Wangu Kutaman Wafanyakazi Wetu
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiIg_pVEbthNjqgZ77un_TSdci50bn0VAVmUkoW2iuJ--cbWbBCM8VJt2xI_QCnhSXK21rFNhd22f56lfFoDvf6BDv1d6eOdxpqB2RZYKRuDs3pe_KinM2TUI8rFkSS_sOngIJHWVZiJgjafxk5doZ6sYVbCkjEcddNMTID2Lo1bO42HNCWVCiAXBtrbw=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiIg_pVEbthNjqgZ77un_TSdci50bn0VAVmUkoW2iuJ--cbWbBCM8VJt2xI_QCnhSXK21rFNhd22f56lfFoDvf6BDv1d6eOdxpqB2RZYKRuDs3pe_KinM2TUI8rFkSS_sOngIJHWVZiJgjafxk5doZ6sYVbCkjEcddNMTID2Lo1bO42HNCWVCiAXBtrbw=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/jinsi-nilivyopambana-kuikabili-hali-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/03/jinsi-nilivyopambana-kuikabili-hali-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy