Dk.Chaula Aitaka Ngos Kushirikiana Na Serikali Kuimarisha Uchumi Na Ustawi Wa Wananchi
HomeHabari

Dk.Chaula Aitaka Ngos Kushirikiana Na Serikali Kuimarisha Uchumi Na Ustawi Wa Wananchi

 Na WMJJWM, Tanga Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula ametoa wito kwa Mashir...


 Na WMJJWM, Tanga
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Zainab Chaula ametoa wito kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali kushirikiana na Serikali kuimarisha uchumi na Ustawi wa wananchi.

Dkt. Chaula akizungumza na Mashirika hayo katika Mkoani Tanga amesema Baraza la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO) ni moja ya chombo muhimu katika nchi hii kinachosimamia NGOs, hivyo kinatakiwa kisimamie vema Mashirika yake.

“KilaShirika lina majukumu lililokusudia, ikiwemo kutatua changamoto zilizopo kwenye jamii, lengo Jamii ibadilike na kurudi kwenye maadili yake” amesema Dkt. Chaula.

Amesisitiza kila slShirika kuangalia sababu ya kujisajili, litekeleze majukumu yake na kufuata kanuni sheria na miongozo iliyopo, ikiwemo kuwasilisha taarifa za kila mwezi.

“Kwa hiyo tunapofanya kazi tunategemea matokeo ambayo kila mwananchi atafurahia uhuru wa nchi hii na Ustawi wa mtu mmoja mmoja utaimarika” Ameongeza Dkt. Chaula.

Kwa upande wake Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Tanga Saimon Mdende akiwasilisha taarifa ya shughuli zinazofanywa na Idara hiyo amesema mkoa unashirikiana kwa karibu na NGOs kutekeleza afua mbalimbali ikiwemo kielimisha Jamii madhara ya ukatili wa kijinsia na madawa ya kulevya.

Naye mmoja wa wamiliki wa NGOs ya Gift of Hope Foundation inayoshughulika na kutoa huduma ya ushauri nasaha kwa waathirika wa madawa ya kulevya Said Mbaga, amemueleza Katibu Mkuu malengo ya Taasisi hiyo ni kuhakikisha vijana hawaingii katika mkumbo wa kutumia madawa hayo na waathirika wanapata Huduma na kurudi katika hali zao za kawaida.

Awali, katika Mkutano huo Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri wa Wilaya ya Muheza, hiyo, Vije Mfaume alisema kwa mwaka 2021/22 Halmashauri imetenga jumla ya shilingi milioni 213 kutoka makusanyo ya ndani kwa ajili kutoa mikopo kwa wajasiriamali Wanawake, vijana na watu wenye Ulemavu na hadi sasa jumla ya sh. milioni 132 imetolewa.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Dk.Chaula Aitaka Ngos Kushirikiana Na Serikali Kuimarisha Uchumi Na Ustawi Wa Wananchi
Dk.Chaula Aitaka Ngos Kushirikiana Na Serikali Kuimarisha Uchumi Na Ustawi Wa Wananchi
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgPFQru6RXDpwm1YEe-ccgOIPn3Pd2K0YJ3INlR4rAdeDpJEl9EA2c327iPkcbapJiLGL3nh5QFMCAzlfB1L6S9UgoLh-umYIZrD9uMyBXuRZrUFIzlJVC6lL2k-xa8ZYkdPuQUVX_fauK6AN1cG-weg2RQhVf-8Z9CcL-rd_ZbtZyHTyOg-Nuff4tcaw=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgPFQru6RXDpwm1YEe-ccgOIPn3Pd2K0YJ3INlR4rAdeDpJEl9EA2c327iPkcbapJiLGL3nh5QFMCAzlfB1L6S9UgoLh-umYIZrD9uMyBXuRZrUFIzlJVC6lL2k-xa8ZYkdPuQUVX_fauK6AN1cG-weg2RQhVf-8Z9CcL-rd_ZbtZyHTyOg-Nuff4tcaw=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/02/dkchaula-aitaka-ngos-kushirikiana-na.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/02/dkchaula-aitaka-ngos-kushirikiana-na.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy