Mvua Na Upepo Mkali Waleta Maafa Mafia, Baadhi Ya Nyumba Zaangukiwa Na Miembe Na Minazi
HomeHabari

Mvua Na Upepo Mkali Waleta Maafa Mafia, Baadhi Ya Nyumba Zaangukiwa Na Miembe Na Minazi

Na Mwamvua Mwinyi Pwani, Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge amewataka wananchi wa Mafia kuwa na tabia ya kusaidiana kunapotokea cha...


Na Mwamvua Mwinyi Pwani,
Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge amewataka wananchi wa Mafia kuwa na tabia ya kusaidiana kunapotokea changamoto athari mbambali ili kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza.

Kunenge aliyasema hayo kwenye ziara  ya kukagua athari za zilizosababishwa na mvua kubwa pamoja na upepo mkali ambapo ambapo maafa yaliyojitokeza ni pamoja na kukatika kwa Tishari bandari ya kilindoni miti mikubwa kuangukia makazi ya watu pamoja na kaya zaidi 46 kuathiriwa na mvua hizo.

Alieleza, mkoa wa Pwani umekumbwa na maafa ikiwemo Mafia, Kibiti, Mkuranga, Rufiji,Chalinze nyuma 36 pamoja na madarasa mawili kuezuliwa mabati na Upepo mkali kule shule ya Makombe,na Kisarawe nyumba 100.

"Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeleta maafa Mkoa hapa, tuendelee kusaidia pale inapotokea shida na Serikali itaangalia namna ya kutia nguvu yake."alifafanua Kunenge.

Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Mafia Martin Ntemo alieleza hatua walizochukua ni kufika eneo la tukio na kuunda timu ya kufanya tathmini ili kujua ukubwa wa maafa yaliyojitokeza.

Baadhi ya wananchi waliothirika na athari hiyo wameiomba Serikali iwasaidie hasa katika kuwapimia maeneo wanayoishi yasiyo rasmi ili waishi kwa usalama zaidi.

"Tunashukuru viongozi kutukimbilia kuja kutupa pole,kitongoji hiki hakijapimwa,tunaishi kiholela, Serikali ifanye mkakati wa kutupimia ili tuishi kama wengine kwenye maeneo rasmi "walisema.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Mvua Na Upepo Mkali Waleta Maafa Mafia, Baadhi Ya Nyumba Zaangukiwa Na Miembe Na Minazi
Mvua Na Upepo Mkali Waleta Maafa Mafia, Baadhi Ya Nyumba Zaangukiwa Na Miembe Na Minazi
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEh4io-3RzmrY8okwGeynBoxZhqsePzIj7HjkDDZ0G0eIMOJlf1qw6LXAoKnPIx4-C3V5uNau59f5c4btqtyknsyf92p4HYHmkDnClm-JCukfkcX4X-5r4hRtk1SsfP0smldKa85li-QbFnHVNMOU_sCtDfTOyyuInKQSMMTuYOJSGhycRV5KPrU8fKe4g=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEh4io-3RzmrY8okwGeynBoxZhqsePzIj7HjkDDZ0G0eIMOJlf1qw6LXAoKnPIx4-C3V5uNau59f5c4btqtyknsyf92p4HYHmkDnClm-JCukfkcX4X-5r4hRtk1SsfP0smldKa85li-QbFnHVNMOU_sCtDfTOyyuInKQSMMTuYOJSGhycRV5KPrU8fKe4g=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/mvua-na-upepo-mkali-waleta-maafa-mafia.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/mvua-na-upepo-mkali-waleta-maafa-mafia.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy