Majaji watakikwa kuzijua sheria za Afrika Mashariki
HomeHabari

Majaji watakikwa kuzijua sheria za Afrika Mashariki

Rais wa mahakama ya Jumuiya Afrika Mashariki Nesto Kayobera amesema mafunzo yanayohusu sheria za jumuiya hiyo ni muhimu kutolewa kwa Maja...


Rais wa mahakama ya Jumuiya Afrika Mashariki Nesto Kayobera amesema mafunzo yanayohusu sheria za jumuiya hiyo ni muhimu kutolewa kwa Majaji wa nchi wanachama ili kuwajengea uwezo wa kutoa maamuzi ya haki kwa kuzingatia sheria na kanuni zilizowekwa.

Jaji Kayobera ameyasema hayo Jijini Dar es Salaam mara baada ya mafunzo ya siku mbili yaliyotolewa kwa Majaji wa Mahakama ya Rufani na Mahakama Kuu hapa nchini kwa lengo la kuwajengea uwezo juu ya sheria mbalimbali zinazohusisha nchi za Afrika Mashariki.

Aidha Jaji Kayobera amebainisha kuwa Mahakama ya Afrika Mashariki kwa sasa imetimiza miaka ishirini tangu kuanzishwa kwake lakini bado kuna baadhi ya Majaji hawajui sheria zake hivyo ni vyema kubadilishana mawazo ili kutatua changamoto zinazokabili wananchi Jumuiya hiyo.

“Ni aibu kubwa sana kuona Majaji wengi hawajui sheria za Jumuiya ya Afrika Mashariki hivyo mafunzo haya yatawajengea uwezo Majaji hawa kupata uzoefu katika kuendesha kesi kwenye Mahakama ya Afrika Mashariki”Amesema Jaji Kayobera.

Naye mwezeshaji wa mafunzo hayo Girama Francis kutoka ALP East Africa Group amesema hatua hiyo ya kutoa mafunzo kwa Majaji wa Mahakama ya Afrika Mashariki utaleta muunganiko mzuri kwa Majaji kushirikishana changamoto zinazohusiana na utoaji wa haki.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Majaji watakikwa kuzijua sheria za Afrika Mashariki
Majaji watakikwa kuzijua sheria za Afrika Mashariki
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjtpsKBDBIActAGl6B-vRmYr6D22Bjx3m6hy95jleMGv1xn4rkqh_x-U9V3fkrSq2WXy7LmQX1UC9EcHtDERZC1wvTbs0x2W2ATrJoBIePyT4cwBakMSfMWwvQFw1L6jIf5xfkQn8Tsp-baBkMt-pN6uH-9gfR7-YgdfA_YSZGPjeCGGN8iY9TqI8xxyA=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjtpsKBDBIActAGl6B-vRmYr6D22Bjx3m6hy95jleMGv1xn4rkqh_x-U9V3fkrSq2WXy7LmQX1UC9EcHtDERZC1wvTbs0x2W2ATrJoBIePyT4cwBakMSfMWwvQFw1L6jIf5xfkQn8Tsp-baBkMt-pN6uH-9gfR7-YgdfA_YSZGPjeCGGN8iY9TqI8xxyA=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/majaji-watakikwa-kuzijua-sheria-za.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/majaji-watakikwa-kuzijua-sheria-za.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy