Dkt. Gwajima: Tuifanye Wizara Hii Kuwa Mwanga Wa Maendeleo Jamii
HomeHabari

Dkt. Gwajima: Tuifanye Wizara Hii Kuwa Mwanga Wa Maendeleo Jamii

  Na WMJJM Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe Dkt. Dorothy Gwajima ameitambulisha rasmi Wizara ...

 


Na WMJJM Dodoma
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe Dkt. Dorothy Gwajima ameitambulisha rasmi Wizara yake kwa Umma na kuwahakikishia kuwa itafanyika kuwa mwanga katika kuongeza kasi kwenye Maendeleo ya Jamii.

Waziri Dkt. Gwajima ameyasema hayo  tarehe 17 Januari, 2022 Jijini Dodoma kwenye Ofisi za Wizara zilizoko Mji wa Serikali, Mtumba wakati akizungumza na Menejimenti ya Wizara hiyo katika kikao cha kwanza kukutana tangu kuanzishwa kwa Wizara hiyo Mpya.

Amesema kuwa Wizara ipo tayari kutekeleza majukumu yake sambamba na maagizo mbalimbali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika kufikia azma yake ya kuwaletea wananchi Maendeleo.

"Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan ameona umuhimu wa kuwepo kwa Wizara Ili iweze kuratibu na kuhakikisha wananchi wa makundi yote wanashiriki kusukuma maendeleo ya Taifa lao Sekta zote" alisema Dkt. Gwajima

Waziri Dkt. Gwajima ameongeza kuwa Wizara yake itashirikiana na wananchi na wadau wote katika kuhakikisha kuwa inakuwa kiungo katika kuhakikisha Jamii inakuwa na maendeleo na Ustawi.

Hatua hii inakuja mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kuanzisha Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum yenye lengo la kuhakikisha jamii inapata Maendeleo na Ustawi wao. 

MWISHO.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Dkt. Gwajima: Tuifanye Wizara Hii Kuwa Mwanga Wa Maendeleo Jamii
Dkt. Gwajima: Tuifanye Wizara Hii Kuwa Mwanga Wa Maendeleo Jamii
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiuaXEMHRDv4WD2fDkvyvgcmRSJ7l578jHwoy3r-9vsb7nfMT0pL3U5c4XbvfIk-oE6_vFqysvy_Bn0UZJJszqMfizgA4q8XQuurv8JYLwv7L4ca_Q6VpuPCydHM49re3gnlv1fA4GT2hGGxCoSNB1IbKw5DuLH-6bH0oQ-18KOJMUw_C1pcJmgz1bCyw=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEiuaXEMHRDv4WD2fDkvyvgcmRSJ7l578jHwoy3r-9vsb7nfMT0pL3U5c4XbvfIk-oE6_vFqysvy_Bn0UZJJszqMfizgA4q8XQuurv8JYLwv7L4ca_Q6VpuPCydHM49re3gnlv1fA4GT2hGGxCoSNB1IbKw5DuLH-6bH0oQ-18KOJMUw_C1pcJmgz1bCyw=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/dkt-gwajima-tuifanye-wizara-hii-kuwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2022/01/dkt-gwajima-tuifanye-wizara-hii-kuwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy