Viongozi CCM mbaroni kwa kumjeruhi Askari Polisi
HomeHabari

Viongozi CCM mbaroni kwa kumjeruhi Askari Polisi

Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilayani Babati Filbert Mdaki (52) na Katibu wa Jumuiya ya Vijana UVCCM wa Wilaya hiyo, George Sanka ...


Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wilayani Babati Filbert Mdaki (52) na Katibu wa Jumuiya ya Vijana UVCCM wa Wilaya hiyo, George Sanka (46) wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumpiga Askari Polisi mateke na fimbo.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Benjamin Kuzaga, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, ambapo amesema kuwa tukio hilo lilitokea Desemba 16 majira ya saa 11 jioni katika kijiji cha Kirudiki wilayani Babati.

Kamanda Kuzaga amesema watuhumiwa hao walimshambulia Koplo Baraka wa Kituo kidogo cha Polisi Kiru kwa mateke na fimbo baada ya kufika kwenye mkusanyiko wa wananchi wa Kijiji cha Kirudiki.

“Askari huyo baada ya kuona mkusanyiko alifika ili aulizie juu ya kibali cha mkusanyiko huo, ndipo viongozi hao wakamshambulia maeneo mbalimbali ya mwili,” amesema kamanda Kuzaga.

Amesema uchunguzi wa tukio hilo unaendelea na ukikamilika watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani.




Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Viongozi CCM mbaroni kwa kumjeruhi Askari Polisi
Viongozi CCM mbaroni kwa kumjeruhi Askari Polisi
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgUCM9ozGVB-MaeNVZ8ZvrdGBoyr06Y1-g3lTBE6AaqP3jQp_KXGGE9XbRIRBOuLnPbedLc_CfVlCPGdVZZzPis3cYAfXi1v-AkvdAly0g9s9ZBPiEGBmk5IDybDEVATvbpvHpzjIEWEmggFF6QyTIWjk4eLm6fUPJ1n7OQH6gbYKQqcJqkovtz9hDyZA=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgUCM9ozGVB-MaeNVZ8ZvrdGBoyr06Y1-g3lTBE6AaqP3jQp_KXGGE9XbRIRBOuLnPbedLc_CfVlCPGdVZZzPis3cYAfXi1v-AkvdAly0g9s9ZBPiEGBmk5IDybDEVATvbpvHpzjIEWEmggFF6QyTIWjk4eLm6fUPJ1n7OQH6gbYKQqcJqkovtz9hDyZA=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/viongozi-ccm-mbaroni-kwa-kumjeruhi.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/viongozi-ccm-mbaroni-kwa-kumjeruhi.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy