Rais Samia amuwashia taa nyekundu Waziri Mbarawa ....."Njoo uniambie kwamba nimeshindwa"
HomeHabari

Rais Samia amuwashia taa nyekundu Waziri Mbarawa ....."Njoo uniambie kwamba nimeshindwa"

Rais Samia Suluhu Hassan amepeleka ujumbe wa tahadhari kwa Waziri wake wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa kufuatia msururu wa ...

SUPER – NHESHA: Dawa Bora Ya Kutibu Tatizo La Kisukari
Majaji Walioteuliwa na Rais Samia kuapishwa kesho, wakuu wa mikoa keshokutwa
Kanuni bora za ufugaji wa kuku wa kienyeji(kuku Asili)....Soma Hapa Uwe Tajiri


Rais Samia Suluhu Hassan amepeleka ujumbe wa tahadhari kwa Waziri wake wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa kufuatia msururu wa madudu unaoendelea katika taasisi zilizo chini ya wizara hiyo.

Amemtaka Waziri Mbarawa afanye marekebesho yanayowezekana ndani ya wizara yake ili mambo yaendelee kufuatia uwepo wa ubadhirifu mkubwa katika bandari ya Dar es Salaam.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Desemba 4, 2021, jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa gati 0 hadi 7 ya Bandari ya Dar es Salaam.


"Mh. Waziri nilikuweka kwa kukuamini na ninaomba nenda kasimamie kazi hii kama ninavyotarajia na utakaposhindwa njoo uniambie, nimeshindwa, nitaangalia mwingine labda ataweza kunisaidia, lakini haya hayawezi kuendelea," amesema Rais Samia.

==>>Msikilize Hapo Chini
 



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Rais Samia amuwashia taa nyekundu Waziri Mbarawa ....."Njoo uniambie kwamba nimeshindwa"
Rais Samia amuwashia taa nyekundu Waziri Mbarawa ....."Njoo uniambie kwamba nimeshindwa"
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgnnrjDwahfvZ04pJwJ0_89FOu1V85HjyvmFa0vzJAbwkMYuNFCIjfDlijKTUdv17DT3T8TEJSZE4BmNUbHGPIw9VaSPT3h2qjnzHvS9s8PuUOiH4v9dqgfVgG99qs-LUiShIl1ArFF0Adh4tzfHLSOHYEImlDz9SIXMWv1ysSrX2EfjEi1pXpLTSwvBg=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgnnrjDwahfvZ04pJwJ0_89FOu1V85HjyvmFa0vzJAbwkMYuNFCIjfDlijKTUdv17DT3T8TEJSZE4BmNUbHGPIw9VaSPT3h2qjnzHvS9s8PuUOiH4v9dqgfVgG99qs-LUiShIl1ArFF0Adh4tzfHLSOHYEImlDz9SIXMWv1ysSrX2EfjEi1pXpLTSwvBg=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/rais-samia-amuwashia-taa-nyekundu.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/rais-samia-amuwashia-taa-nyekundu.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy