Pato la mtanzania lakifia Sh milioni 2.6
HomeHabari

Pato la mtanzania lakifia Sh milioni 2.6

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wastani wa pato la mtanzania kwa mwaka 2020 ni Sh 2,653,790. Akizu...


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wastani wa pato la mtanzania kwa mwaka 2020 ni Sh 2,653,790.

Akizungumza wakati wa kuhutubia Taifa, Rais Samia amesema takwimu hizo ni tofauti na mwaka 1961 ambapo wastani wa pato kwa mtanzania lilikuwa ni Sh 776.

“Jambo hili linaongeza hadhi yetu machoni pa jumuiya ya kimataifa na kutuondolea unyonge," amesema Rais Samia.

Rais Samia amesema miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara, imechangia kuleta mafanikio makubwa, ikiwemo kuulinda uhuru wetu na mipaka yake, kujenga umoja wa kitaifa na mshikamano, kuimarisha uchumi wetu na kupunguza umaskini, na kuimarisha demokrasia.

"Katika eneo tunalopaswa kujivunia ni kuboresha maisha ya Watanzania na kuongeza upatikanaji wa huduma za jamii na ubora wake, kama sekta ya majisafi, elimu, afya na upatikanaji wa umeme,” ameongeza Rais Samia

 



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Pato la mtanzania lakifia Sh milioni 2.6
Pato la mtanzania lakifia Sh milioni 2.6
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEhN0hYYbnm3lCPY-AFY9dOU2LZvyyxUbRpwTbwXWkuvGTgtKP3zKsHQM3FPUJ50U4YdujPKK8-y4NNlUVmP5SrFL7APUXraB4Lt9VNwDrMgEXi9ZivPP8ZYTeGi122Xr93lMlx_IJqkSmrPoHBQ_H5As7MK0jV_ZvZybInhv8ciDb67GW6ve8ItHgQnPw=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEhN0hYYbnm3lCPY-AFY9dOU2LZvyyxUbRpwTbwXWkuvGTgtKP3zKsHQM3FPUJ50U4YdujPKK8-y4NNlUVmP5SrFL7APUXraB4Lt9VNwDrMgEXi9ZivPP8ZYTeGi122Xr93lMlx_IJqkSmrPoHBQ_H5As7MK0jV_ZvZybInhv8ciDb67GW6ve8ItHgQnPw=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/pato-la-mtanzania-lakifia-sh-milioni-26.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/pato-la-mtanzania-lakifia-sh-milioni-26.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy