Kenya: Watu 20 wafariki dunia katika basi lililosombwa na mto
HomeHabari

Kenya: Watu 20 wafariki dunia katika basi lililosombwa na mto

Zaidi ya watu 20 wamefariki dunia Jumamosi Desemba 4 wakati basi lao lililokuwa likielekea kwenye harusi liliposombwa na Mto Enziu uliofu...


Zaidi ya watu 20 wamefariki dunia Jumamosi Desemba 4 wakati basi lao lililokuwa likielekea kwenye harusi liliposombwa na Mto Enziu uliofurika maji kwenye daraja moja katikati mwa Kenya, polisi imesema.

Wapita njia wamepiga kelele wakati basi la shule ya manjano lililokodiwa kusafirisha wanakwaya ya kanisa na wengine kwenye hafla iliyopangwa katika Kaunti ya Kitui lilipinduka na kuzama dereva akijaribu kujaribu kuongoza basi lake kwenye kinakirefu cha maji.

Baadhi ya watu waliokuwa kwenye basi hilo walifanikiwa kujiokoa kabla ya basi kuzama katika maji na kupelekwa mahali salama. "Tulipata ajali hii mbaya iliyotokea hapa asubuhi ya leo," gavana wa Kitui Charity Ngilu amewaambia wanahabari.

Ameongeza kuwa "miili 23" hadi sasa ilikuwa imetolewa mtoni na "bado kuna miili kwenye basi". Amesema shughuli ya kuitafuta miili ya waathiriwa itaanza tena leo Jumapili a

Basi hilo lilikuwa likiwasafirisha wakwaya wa kanisa na wanakijiji waliokuwa wakkenda harusini wakati wa ajali hiyo. Walioshuhudia wamesema kuwa dereva wa basi hilo alijaribu kuvuka daraja, huku likiwa limefurika kwa maji, ambayo nguvu yake ilisomba gari hilo katika mkondo wa mzunguko. Makamu wa Rais William Ruto ametoa rambirambi zake kwa familia za waathiriwa, huku akiwataka madereva wa magari kuchukua tahadhari zaidi katika barabara za Kenya, ambako maeneo mengi kwa sasa yanakumbwa na mvua kubwa




Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Kenya: Watu 20 wafariki dunia katika basi lililosombwa na mto
Kenya: Watu 20 wafariki dunia katika basi lililosombwa na mto
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjoWwPNOIiRQysz-FthJe5wBf4f8fvD4hcZBLeMlvw-T3Hk-lXv4-64So949VW7fviMgZylK7Vc5nno59sGsxAARRPqQ4HARdpfD7IISkOclc_eE0f35aMrchPWtyEHQZ7p2QEdq2oholxD2vCL2FsCm1tmdUHhggvBFogjzVGrXHtSC7KiucRraB8l9w=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjoWwPNOIiRQysz-FthJe5wBf4f8fvD4hcZBLeMlvw-T3Hk-lXv4-64So949VW7fviMgZylK7Vc5nno59sGsxAARRPqQ4HARdpfD7IISkOclc_eE0f35aMrchPWtyEHQZ7p2QEdq2oholxD2vCL2FsCm1tmdUHhggvBFogjzVGrXHtSC7KiucRraB8l9w=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/kenya-watu-20-wafariki-dunia-katika.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/12/kenya-watu-20-wafariki-dunia-katika.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy