Rais Samia akutana na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson
HomeHabari

Rais Samia akutana na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 31 Oktoba, 2021 amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalumu ...


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 31 Oktoba, 2021 amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalumu wa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson katika masuala ya biashara kati ya Uingereza na Tanzania Lord  John Walney.

Bw. Walney amekutana na Mhe. Rais Samia kujitambulisha akiwa na jukumu la kuwa kiungo kati ya nchi hizo mbili kuhusu masuala ya biashara, uwekezaji na utalii.

Amesema kukutana kwake na Mhe. Rais Samia kumempa fursa ya kujua vipaumbele vya Serikali ya Tanzania ambavyo vitamuwezesha kuwashawishi zaidi wafanyabiashara wa Uingereza kuwekeza katika sekta ya bishara na utalii nchini Tanzania

Kwa upande wake Mhe. Rais Samia amemshukuru Bw. Walney kwa uamuzi wake wa kukutana nae na kujitambulisha kwake na kumueleza kuwa Serikali ya Tanzania ipo tayari kushirikiana na Serikali ya Uingereza katika kuchochea biashara baina ya nchi mbili hizo.

Mhe. Rais Samia amesema Serikali ya Uingereza na Tanzania zimekuwa na ushirikiano wa kibiashara kwa muda mrefu ambapo Uingereza ni moja kati ya nchi zinazoongoza kuwekeza nchini Tanzania, hivyo kupitia mjumbe huyo kutaongeza fursa zaidi za kibiashara katika kukuza ushirikiano wa uchumi na Uingereza.

Jaffar Haniu

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Rais Samia akutana na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson
Rais Samia akutana na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjs1kt00ItO-3Rvhsvhrn7GcgyG-EAN7aVcGTiB0sIGoUfiBkxlBYSh0iWlL_J_fbec6jPJztYOdWhRjiFkLAxFmQSDC1EZTmxFS0lLwukEXxluZmQ0P5qanZDNJzZxfihHBs5nOhIVZ49nEQmA_ERzNd14Z_VEIipuaQDqAN-KJl7DIfggHfV4ZvXiAA=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEjs1kt00ItO-3Rvhsvhrn7GcgyG-EAN7aVcGTiB0sIGoUfiBkxlBYSh0iWlL_J_fbec6jPJztYOdWhRjiFkLAxFmQSDC1EZTmxFS0lLwukEXxluZmQ0P5qanZDNJzZxfihHBs5nOhIVZ49nEQmA_ERzNd14Z_VEIipuaQDqAN-KJl7DIfggHfV4ZvXiAA=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/rais-samia-akutana-na-mjumbe-maalum-wa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/rais-samia-akutana-na-mjumbe-maalum-wa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy