Kesi ya Mbowe Yaahirishwa, Shahidi Augua
HomeHabari

Kesi ya Mbowe Yaahirishwa, Shahidi Augua

Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imeahirisha usikilizaji wa kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabil...

Mapambano Ya Dawa Za Kulevya Tumeyapa Sura Mpya- Kamishna Jenerali Kusaya
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo September 15
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo September 14


Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imeahirisha usikilizaji wa kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, kutokana na shahidi wa sita wa Jamhuri kutohudhuria mahakamani hapo, kwa sababu za kiafya. .

Kesi hiyo imeahirishwa leo Jumatano, tarehe 3 Novemba 2021 na mahakama hiyo mbele ya Jaji Joackim Tiganga, baada ya upande wa jamhuri kupitia Wakili wa Serikali Mwandamizi, Robert Kidando, kuomba ahirisho.
 

Wakili Kidando ameieleza mahakama hiyo kuwa, shahidi huyo ambaye alitarajiwa kuwa wa sita kati ya 24 ambao upande wa mashtaka umepanga kuwaita, amepata ugonjwa hivyo ameshindwa kufika mahakamani.

“Mheshimiwa Jaji tumempata shahidi tuliyepanga kuendelea naye leo lakini amepata tatizo la kiafya, amepata ugonjwa na kushindwa kuja mahakamani. Kwa sababu hiyo tunaomba ahirisho la kuleta shahidi mwingine kesho,” amesema Wakili Kidando.

Baada ya maombi hayo, Jaji Tiganga amewauliza upande wa utetezi ambapo kiongozi wa japo la mawakili, Peter Kibatala amesema hawana pingamizi.

Mara baada ya Kibatala kueleza hayo, Jaji Tiganga ameiahirisha kesi hiyo hadi kesho Alhamisi saa 3:00 asubuhi na watuhumiwa wataendelea kuwa mahabusu.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Kesi ya Mbowe Yaahirishwa, Shahidi Augua
Kesi ya Mbowe Yaahirishwa, Shahidi Augua
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEi56JoY2JKa4Yn5dJdulse-v9NYGenOBbD5VnHeHXouk57bZSR_AD24dTym9AA-kwMMV07Gqp7GZjf3iIedxba7Tns3j_g527M9MRR1ZOQvM0k4J2nqjjNgiaw2_BoPmrPr8-q9IhCe_xca4g6cHsSwOo2zRDfBg1sqVPSHGH1qWcCKQkDwWuNgAnqv-w=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEi56JoY2JKa4Yn5dJdulse-v9NYGenOBbD5VnHeHXouk57bZSR_AD24dTym9AA-kwMMV07Gqp7GZjf3iIedxba7Tns3j_g527M9MRR1ZOQvM0k4J2nqjjNgiaw2_BoPmrPr8-q9IhCe_xca4g6cHsSwOo2zRDfBg1sqVPSHGH1qWcCKQkDwWuNgAnqv-w=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/kesi-ya-mbowe-yaahirishwa-shahidi-augua.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/11/kesi-ya-mbowe-yaahirishwa-shahidi-augua.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy