SOLSKJAER HAJUTII RONALDO KUANZA BENCHI
HomeMichezo

SOLSKJAER HAJUTII RONALDO KUANZA BENCHI

  OLE Gunnar Solskjaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa hajutii kutomuanzisha kikosi cha kwanza nyota wake Cristiano Ronaldo...

SIMBA:TULICHEZA VIBAYA MBELE YA YANGA
MANCHESTER CITY YAMTAKA RAMOS
YANGA: TUTAWAFUNGA TENA SIMBA KIGOMA

 


OLE Gunnar Solskjaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa hajutii kutomuanzisha kikosi cha kwanza nyota wake Cristiano Ronaldo katika mchezo uliokamilika kwa Manchester United kugawana pointi mojamoja na Everton. 

Baada ya dakika 90, ubao wa Uwanja wa Old Trafford ulisoma Manchester United 1-1 Everton na bao la United lilipachikwa  na Anthony Martial dakika ya 43 na lilisawazishwa na Andros Townsend dakika ya 65.

Kipindi cha kwanza Ole Gunnar alianza na Edinson Cavan na Anthony Martial katika Uwanja wa Old Trafford ikiwa ni mara ya kwanza kwa Ronaldo kuwekwa benchi ndani ya United tangu mwaka 2007 ilipokuwa hivyo kwenye mchezo wa Ligi Kuu England na katika mchezo huo United ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya West Ham United.

Solskjaer alipoulizwa kama anajutia kumuweka benchi Ronaldo alisema:"Hapana. Unajua ni lazima ufanye maamuzi mazuri na tuna msimu mrefu lazima uweze kuwaongoza wachezaji wako lazima ufanye uchaguzi sahihi.



"Anthony Martial amefanya kazi nzuri na amefunga bao pia Edinson (Cavan) alikuwa anahitaji dakika tu na alikuwa na uwezo wa kufunga. Lazima tufanya maamuzi kwa muda,".



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SOLSKJAER HAJUTII RONALDO KUANZA BENCHI
SOLSKJAER HAJUTII RONALDO KUANZA BENCHI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgEmJOfm7QVCTFjAAK-XuK7dBdX-_O2LoWGEQBCZiLyRuqMzLHFW2vZvfZLG3ZpJZwU9ltKJcNeoBWGdCYaytkKjkCShQSvfZ3h2y7eNf8jVwaiVDLutMZ_5eZiWcAhVVxwsRneoetE3drw/w640-h360/Ronaldo+benchi.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgEmJOfm7QVCTFjAAK-XuK7dBdX-_O2LoWGEQBCZiLyRuqMzLHFW2vZvfZLG3ZpJZwU9ltKJcNeoBWGdCYaytkKjkCShQSvfZ3h2y7eNf8jVwaiVDLutMZ_5eZiWcAhVVxwsRneoetE3drw/s72-w640-c-h360/Ronaldo+benchi.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/solskjaer-hajutii-ronaldo-kuanza-benchi.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/solskjaer-hajutii-ronaldo-kuanza-benchi.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy