SIMBA YABAINISHA KILICHOWAFANYA WAKAANZA KWA KUSUASUA
HomeMichezo

SIMBA YABAINISHA KILICHOWAFANYA WAKAANZA KWA KUSUASUA

 DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa walianza kwa kusuasua kwenye Ligi Kuu Bara kwa kuwa walikuwa bado hawajajua ligi itakuwa y...


 DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa walianza kwa kusuasua kwenye Ligi Kuu Bara kwa kuwa walikuwa bado hawajajua ligi itakuwa ya aina gani kwa msimu wa 2021/22.

Tayari mabingwa hao watetezi wa taji la Ligi Kuu Bara wameambulia ushindi mmoja kwenye mchezo wa ligi na walitoshana nguvu na Biashara United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Karume, Mara.

Gomes amebainisha kwamba kwenye mchezo wa kwanza walipata shida kuweza kushinda kwa kuwa walikuwa bado hawajajua aina ya ligi itakavyokwenda.

"Tulianza kwa shida msimu huu kwa kuwa hatukujua ligi inakwendaje na hilo limetufanya tuweze kujua namna gani tunaweza kwenda hiloawali lilitufanya tukashindwa kupata ushindi mchezo wetu wa kwanza mbele ya Biashara United.

"Kwa sasa tumejua aina ya ligi ilivyo na mtindo ambao unahitajika tutakwenda sawa na imani yetu ni kuona kwamba tunapata matokeo chanya kwenye mechi zetu ambazo tutacheza," amesema.

Katika mchezo wa kwanza kushinda ilikuwa ni mbele ya Dodoma Jiji na ilishinda kwa bao 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SIMBA YABAINISHA KILICHOWAFANYA WAKAANZA KWA KUSUASUA
SIMBA YABAINISHA KILICHOWAFANYA WAKAANZA KWA KUSUASUA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_iK3B6xm4uB57zNWgS6jZpjx9K6PMJBIhel6rQd3SHHn1eu7FkjDwxC6wAD_vT6_Pht9H5NnklY6_vZ2KsczGPe42sTRu8JepBBMSt7mfAdP5mvAq7hfwQGyV2jWRBUMFLtIbrsFSxSb9/w640-h426/simbasctanzania-244012975_618329579171458_6317678061710927960_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_iK3B6xm4uB57zNWgS6jZpjx9K6PMJBIhel6rQd3SHHn1eu7FkjDwxC6wAD_vT6_Pht9H5NnklY6_vZ2KsczGPe42sTRu8JepBBMSt7mfAdP5mvAq7hfwQGyV2jWRBUMFLtIbrsFSxSb9/s72-w640-c-h426/simbasctanzania-244012975_618329579171458_6317678061710927960_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/simba-yabainisha-kilichowafanya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/simba-yabainisha-kilichowafanya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy