DRC yalituhumu jeshi la Rwanda kwa 'uvamizi', Kigali wakanusha
HomeHabari

DRC yalituhumu jeshi la Rwanda kwa 'uvamizi', Kigali wakanusha

Msemaji wa jeshi la mkoa wa Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Guillaume Njike amelituhumu Jeshi la Rwanda kuwa...


Msemaji wa jeshi la mkoa wa Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Guillaume Njike amelituhumu Jeshi la Rwanda kuwa limevamia vijiji sita kaskazini mashariki mwa DRC Jumatatu asubuhi.

Msemaji huyo amesema, tangu Jumatatu asubuhi, jeshi la Rwanda limevamia eneo la Kibumba, mkoani Kivu Kaskazini, na kusababisha mapambano kati ya vikosi vya DRC na jeshi la Rwanda.

Ameongeza kuwa jeshi la Rwanda lililazimishwa kurudi nyuma kutokana na kupelekwa askari wa ziada wa DRC katika eneo hilo.

Wakati huo huo balozi wa Rwanda katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Vincent Karega amesema hakuna ushahidi wowote wa hujuma hiyo na kwamba askari wa Rwanda walikuwa wakimsaka mhalifu. Amedai kuwa hali ya taharuki iliyoibuliwa ni bandia. 

Hatavhiyo Jamhuri ya Kidemokarsia ya Congo imesema itawasilisha mashtaka dhidi ya Rwanda katika Jumuiya ya Kongamano la Kimataifa la Maziwa Makuu ambayo inazileta pamoja nchi za eneo hilo.

Uhusiano wa Rwanda na DRC umekuwa na panda shuka nyingi kwa miaka mingi ambapo nchi mbili hutuhumiana mara kwa mara kuhusu uvamizi au kuunga mkono waasi. Tokea Felix Tshisekedi achukue madaraka 2019 nchi hizi mbili zimeshuhudia kuboreka uhusiano na hata zimetiliana saini mapatano kadhaa kuhusu uchimbaji dhahabu.

-Parstoday




Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: DRC yalituhumu jeshi la Rwanda kwa 'uvamizi', Kigali wakanusha
DRC yalituhumu jeshi la Rwanda kwa 'uvamizi', Kigali wakanusha
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgYP7QJ3r8wCxrF73WqG07OSKUpnVPGmi4pCO5AQpgKa0NU3IgMHLoJxM7cAu9jUz_sEjJRapTbbif6BXZmSqKnk67_xUTKWEwzDISKZGrYV4FRUXozpJZkctB3NAKK5JydLh2NSRwoDpV7aT5lDWffHCozviELY96oEwgHgoysqB875f04-iHZ7NShBw=s16000
https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgYP7QJ3r8wCxrF73WqG07OSKUpnVPGmi4pCO5AQpgKa0NU3IgMHLoJxM7cAu9jUz_sEjJRapTbbif6BXZmSqKnk67_xUTKWEwzDISKZGrYV4FRUXozpJZkctB3NAKK5JydLh2NSRwoDpV7aT5lDWffHCozviELY96oEwgHgoysqB875f04-iHZ7NShBw=s72-c
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/drc-yalituhumu-jeshi-la-rwanda-kwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/10/drc-yalituhumu-jeshi-la-rwanda-kwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy