KUMBE AZAM FC WALIBADILISHIWA MBINU
HomeMichezo

KUMBE AZAM FC WALIBADILISHIWA MBINU

  VIVIER Bahati, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa mchezo wao wa jana wapinzani wao walibadili mbinu jambo lililowafanya wapate tabu ...


 

VIVIER Bahati, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa mchezo wao wa jana wapinzani wao walibadili mbinu jambo lililowafanya wapate tabu kwenye ushindi wa mabao mengi.

Wawakilishi hao wa kimataifa kwenye Kombe la Shirikisho jana waliweza kushinda bao 1-0 dhidi ya wapinzani wao Horseed FC ya Somalia na kuweza kusonga hatua nyingine kwa kuwa mchezo wa kwanza walishinda kwa mabao 3-1.

Akizungumza na Saleh Jembe, Bahati amesema kuwa walitambua kwamba mchezo wao ungekuwa mgumu jambo ambalo liliwafanya wawape somo la kujiamini wachezaji wao.

"Mchezo wa kwanza tulishinda kwa mabao mengi ilikuwa ni furaha kwetu lakini mchezo wa pili mambo yamekuwa tofauti hiyo inatokana na mbinu za wapinzani wetu.

"Kikubwa tuliwaambia wachezaji kwamba wapambane kazi haitakuwa nyepesi na wao wamefanya hivyo mwisho wa siku tumeshinda na tumesonga mbele," .

Azam FC inasonga mbele kwa jumla ya mabao 4-1 huku bao la jana likipachikwa na kiungo wao Ismail Kada kwa shuti lililomshinda kipa wa Horseed FC.

Nyota wa mchezo ni Idd Suleman, 'Nado' ambaye alikuwa ni machachari na msumbufu muda wote alipokuwa ndani ya uwanja jambo ambalo liliwafanya Horseed FC wapoteane licha ya kucheza kwa umakini na utulivu mkubwa, Uwanja wa Azam Complex.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: KUMBE AZAM FC WALIBADILISHIWA MBINU
KUMBE AZAM FC WALIBADILISHIWA MBINU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi9R_2x8Jp3yqOUhGamSFPctpLKBisL1WeVbCHfhUF90TBmpENKkawosa771LgaoMb2IyYmsIBmFDmIRFCZuByG-NZNQBIHYUg7IN_yHKSWlG2E3DdsHaSZZIONMOYdoUS0n_xhi2cyzLl1/w640-h640/azamfcofficial-242071981_321477423113659_6832541838589081612_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi9R_2x8Jp3yqOUhGamSFPctpLKBisL1WeVbCHfhUF90TBmpENKkawosa771LgaoMb2IyYmsIBmFDmIRFCZuByG-NZNQBIHYUg7IN_yHKSWlG2E3DdsHaSZZIONMOYdoUS0n_xhi2cyzLl1/s72-w640-c-h640/azamfcofficial-242071981_321477423113659_6832541838589081612_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/kumbe-azam-fc-walibadilishiwa-mbinu.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/kumbe-azam-fc-walibadilishiwa-mbinu.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy