IFAHAMU SABABU ZA SHOMARI KAPOMBE KUWA NAHODHA WA SIMBA
HomeMichezo

IFAHAMU SABABU ZA SHOMARI KAPOMBE KUWA NAHODHA WA SIMBA

 HIVI unajua kisa cha Kocha wa Simba, Didier Gomes kumvua kitambaa cha unahodha msaidizi Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ na kukihamisha kitam...


 HIVI unajua kisa cha Kocha wa Simba, Didier Gomes kumvua kitambaa cha unahodha msaidizi Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ na kukihamisha kitambaa kwa Shomari Kapombe? Championi linakupa jibu.

Kama hujui hilo basi tambua kwamba kisa hicho kimetoka baada ya mwenendo wa kiwango bora cha uchezaji wa Kapombe ambacho kimekuwa kivutio kikubwa kwa kocha Gomes na kusababisha ampe uongozi ndani ya timu.


Hata hivyo, Tshabalala atabaki kuwa nahodha namba tatu wakati Kapombe ni namba mbili na John Bocco akiwa namba moja.

Kwenye mchezo wa TP Mazembe na Simba, uliopigwa Jumapili iliyopita huku wakibamizwa kwa bao 1-0, siku hiyo Kapombe alitinga uwanjani akiwa ametinga kitambaa cha unahodha huku Tshabalala akiwa uwanjani.



Chanzo chetu cha ndani kutoka kambi ya Simba iliyokuwa Karatu, Arusha, kimeweka bayana kwamba, Gomes amekuwa akivutiwa zaidi na nidhamu na uwezo wa Kapombe jambo lililomfanya kumpandisha kutoka nafasi ya nahodha namba tatu na kumfanya awe msaidizi wa Bocco.


“Watu wengi wanajiuliza sana suala la Kapombe kuvaa kitambaa cha unahodha dhidi ya TP Mazembe, ila majibu ya wazi yako hivi, Gomes ndiye mwenye jukumu la kuchagua nahodha anayemtaka kwani nafasi ya nahodha uwanjani huwa ni muhimu sana kwa kocha kwani yeye ndiye humsaidia kufikisha taarifa zote wakati wa mechi.


 “Hivyo tangu alipoanza kukinoa kikosi chetu amekuwa muumini zaidi wa hilo na ndiyo maana utaona ameamua kumpandisha Kapombe kuwa nahodha msaidizi kutokana na ushawishi alionao kwa wachezaji wenzake,” kilisema chanzo hicho.


Alipotafutwa Mratibu wa Simba, Abbas Ally azungumzie ishu hiyo alisema: “Kocha wetu tangu alipokabidhiwa timu amekuwa akiteua nahodha msaidizi kutokana na uwezo wake kwenye mazoezi, hivyo Kapombe alipewa nafasi hiyo baada ya kuonyesha juhudi kubwa lakini hata nidhamu yake imetosha sana kwa kocha kujiridhisha hadi kumpatia kitambaa cha nahodha msaidizi.”



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: IFAHAMU SABABU ZA SHOMARI KAPOMBE KUWA NAHODHA WA SIMBA
IFAHAMU SABABU ZA SHOMARI KAPOMBE KUWA NAHODHA WA SIMBA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQ-d_PWsO5LpI0pkpLmwT5_JrUTYFpWKU84naUTuEc11Fzo8cbf6J8Ff1eNN3Q6a0Gb0BnYsXbJ5i-jFlcKuKE9QJkoBzovTC2uOYi3HxsPPlDRpoJGZWfIvKVMMx9cVyrkkyhUZoBt2eV/w640-h428/Tshaba+na+kombe.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQ-d_PWsO5LpI0pkpLmwT5_JrUTYFpWKU84naUTuEc11Fzo8cbf6J8Ff1eNN3Q6a0Gb0BnYsXbJ5i-jFlcKuKE9QJkoBzovTC2uOYi3HxsPPlDRpoJGZWfIvKVMMx9cVyrkkyhUZoBt2eV/s72-w640-c-h428/Tshaba+na+kombe.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/ifahamu-sababu-za-shomari-kapombe-kuwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/ifahamu-sababu-za-shomari-kapombe-kuwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy