AZAM FC KAMILI KUWAVAA HORSEED, HAKUNA MASHABIKI
HomeMichezo

AZAM FC KAMILI KUWAVAA HORSEED, HAKUNA MASHABIKI

  UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Horseed FC ya Somalia yanaendelea na jana waliweza kufanya mazoe...

 


UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Horseed FC ya Somalia yanaendelea na jana waliweza kufanya mazoezi rasmi wakiwa wachezaji wote.

Hii ni baada ya wachezaji wengine kuwa nje ya kambi ya Azam FC iliyowekwa Zambia kutokana na kuwa na majukumu kwenye timu zao za taifa.

Miongoni mwa wachezaji hao ni Idd Seleman, 'Nado' Sure Boy na Mudhathir Yahya ambao walikuwa kwenye timu ya taifa ya Tanzania ambayo iliweza kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Madagascar kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia uliochezwa Uwanja wa Mkapa.

Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa kila kitu kinakwenda sawa kwa kuwa wachezaji wanahitaji kufanya vizuri. 

"Mazoezi yanakwenda vizuri na jana wachezaji waliweza kucheza wote kwa pamoja baada ya wengine kuwa kwenye majukumu yao ya timu ya taifa na hatukuwa nao kambini Zambia.

'Maelekezo ambayo tumepewa ni kwamba hakutakuwa na mashabiki na wale ambao wataingia wanapaswa kupima Corona wale wote watakaoingia," amesema.

Mchezo huo wa Kombe la Shirikisho hatua ya awali unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex,  Septemba 11 saa 1:00 usiku.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: AZAM FC KAMILI KUWAVAA HORSEED, HAKUNA MASHABIKI
AZAM FC KAMILI KUWAVAA HORSEED, HAKUNA MASHABIKI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZo8wlmCsGDDP1GGYkaKCmn3P1qsDrDNB9jSeDpp1_XMcndaUitR6qsw5AUtM75Rze1NZKlmEYU80xpTHml-5UbcLVK9qUtf_RuQ4-67MLOLVQBZ2Ozpeks5wwJRc4lNBM6bRX5QDaBX2U/w638-h640/Screenshot_20210909-065631_Instagram.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZo8wlmCsGDDP1GGYkaKCmn3P1qsDrDNB9jSeDpp1_XMcndaUitR6qsw5AUtM75Rze1NZKlmEYU80xpTHml-5UbcLVK9qUtf_RuQ4-67MLOLVQBZ2Ozpeks5wwJRc4lNBM6bRX5QDaBX2U/s72-w638-c-h640/Screenshot_20210909-065631_Instagram.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/azam-fc-kamili-kuwavaa-horseed-hakuna.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/09/azam-fc-kamili-kuwavaa-horseed-hakuna.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy