YANGA MATUMAINI KIBAO DHIDI YA WANAIJERIA, UJANJA WAO UPO HAPA
HomeMichezo

YANGA MATUMAINI KIBAO DHIDI YA WANAIJERIA, UJANJA WAO UPO HAPA

  KOCHA Mkuu wa  Yanga, Nasreddine  Nabi, amefunguka  kuwa mpango wake mkubwa ni kuhakikisha  wanautumia mchezo wao  wa kilele cha Wiki ya...


 KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, amefunguka kuwa mpango wake mkubwa ni kuhakikisha wanautumia mchezo wao wa kilele cha Wiki ya Mwananchi dhidi ya Zanaco FC ya Zambia, kuhakikisha wanafanya vizuri dhidi ya Rivers United ya Nigeria.

 

Yanga imepangwa kucheza na Rivers United katika mchezo wa kwanza wa hatua ya awali wa Ligi ya Mabingwa Afrika unaotarajiwa kupigwa kati ya Septemba 10 hadi 12, mwaka huu.


Katika mchezo huo, Yanga wanatarajia kuanzia nyumbani, kabla ya kwenda kumalizia ugenini kati ya Septemba 17 na 19, mwaka huu.


Akizungumza na Spoti Xtra, kuhusu mchezo huo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Rivers United, Nabi alisema: “Tumerejea Dar es Salaam baada ya kuwa na kambi ya muda kule nchini Morocco iliyokuwa na lengo la kutuandaa na msimu mpya, mbele yetu tuna matukio mawili makubwa ambayo tunajiandaa nayo.


“Kuna mchezo wa Kilele cha Wiki ya Mwananchi tutakaocheza dhidi ya Zanaco ya Zambia.


“Benchi la ufundi tumejipanga kuutumia mchezo huo ikiwa ni sehemu ya maandalizi dhidi ya Rivers United ya Nigeria.


“Tunawafahamu Zanaco, tunaamini ni kipimo sahihi kwetu kuelekea michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.”



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: YANGA MATUMAINI KIBAO DHIDI YA WANAIJERIA, UJANJA WAO UPO HAPA
YANGA MATUMAINI KIBAO DHIDI YA WANAIJERIA, UJANJA WAO UPO HAPA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhC2U_7juWoVxc8Ws5G3VT7T7BELH_JJfRI6fZbUcdqTAQApMp1U2yxNIq3EOzqlq8IV24atzYo1OFmXq2C6VeBNcAchYphklZ_hW6tI7lYaBqzmh-Z5UVHHts49TZfs-RrSPqXMYg9YPY3/w640-h634/Fei+Tizi.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhC2U_7juWoVxc8Ws5G3VT7T7BELH_JJfRI6fZbUcdqTAQApMp1U2yxNIq3EOzqlq8IV24atzYo1OFmXq2C6VeBNcAchYphklZ_hW6tI7lYaBqzmh-Z5UVHHts49TZfs-RrSPqXMYg9YPY3/s72-w640-c-h634/Fei+Tizi.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/yanga-matumaini-kibao-dhidi-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/yanga-matumaini-kibao-dhidi-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy