Waziri Mkuu Majaliwa Atoa Pole Kwa Familia Ya Kwandikwa
HomeHabari

Waziri Mkuu Majaliwa Atoa Pole Kwa Familia Ya Kwandikwa

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kifo cha aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa na Mbunge wa Ushetu, Elias Kwandikwa ki...

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kifo cha aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa na Mbunge wa Ushetu, Elias Kwandikwa kimeacha pengo serikalini na Bungeni kwani marehemu alikuwa mchapakazi, mwadilifu na mtulivu katika utendaji kazi wake

Amesema hayo jana Jumatano (Agosti 4, 2021) alipokwenda nyumbani kwa marehemu Kwandikwa, Kibaha Picha ya Ndege mkoani Pwani kutoa pole kwa familia.

“Mchango wake wa utendaji katika serikali  na Bunge ni mkubwa sana alifanikiwa kuwavutia wengi kwa tabia yake ya upole, unyenyekevu na uzingatiaji wa taratibu na sheria za utumishi  kila alipopangiwa kufanya kazi hivyo kifo chake ni pigo kwa taifa”

Mheshimiwa Majaliwa ameishukuru familia kwa kuridhia maombi ya kutaka mazishi yafanyike Jumatatu ijayo ili kuwapa nafasi waombolezaji wakiwemo wabunge kupata nafasi ya kusafiri kutoka waliko na kushiriki katika kutoa heshima za mwisho na mazishi.

Wakati huo huo, Waziri Mkuu leo  amekwenda nyumbani  kwa marehemu Biswad Msuya, Kaka Mkubwa wa Mkurugenzi Mkuu wa  Usalama wa Taifa kutoa pole kwa familia kufuatia kifo cha mpendwa wao.

Akizungumza na wafiwa na waombolezaji katika msiba huo Mheshimiwa Majaliwa amesema kuwa amepokea taarifa ya kifo cha marehemu Biswad  kwa mshtuko mkubwa na amewataka waombolezeji wamuombee mke wa marehemu na familia ili awape utulivu na uvumilivu wakati huu wa majonzi.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waziri Mkuu Majaliwa Atoa Pole Kwa Familia Ya Kwandikwa
Waziri Mkuu Majaliwa Atoa Pole Kwa Familia Ya Kwandikwa
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgR7gMj8EHkL_SZxRgQAx6iypwtiBoX84AkPG2fVgzDvkxuq4sqNxli1m4GU0bS-b4bXffqFQAMP5NQ793CIce8KJriOPXabnhQB3b0Rp2tPMf9A5YOiSluNDlDFTCbwYEyjZ0wOT0yK3-6/s0/1.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgR7gMj8EHkL_SZxRgQAx6iypwtiBoX84AkPG2fVgzDvkxuq4sqNxli1m4GU0bS-b4bXffqFQAMP5NQ793CIce8KJriOPXabnhQB3b0Rp2tPMf9A5YOiSluNDlDFTCbwYEyjZ0wOT0yK3-6/s72-c/1.jpeg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/waziri-mkuu-majaliwa-atoa-pole-kwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/08/waziri-mkuu-majaliwa-atoa-pole-kwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy