SIMULIZI ya Mwanaume aliyekutana na kizaazaa kwenye mahusiano:- Kizaazaa kilitokea katika hoteli moja mjini Busia, wakati ambapo umati wa...
SIMULIZI ya Mwanaume aliyekutana na kizaazaa kwenye mahusiano:-
Kizaazaa kilitokea katika hoteli moja mjini Busia, wakati ambapo umati wa watu ulifurika katika hoteli moja mjini humo wakitaka kujionea, Mwanaume na mke waliokua wamenaswa,wakifanya tendo la ndoa, nje ya ndoa zao. Kila mtu aliyekuwa eneo hilo alitaka kufika pahala hapo kuweza kujionea wapenzi hao wawili wanaosemekana, kukwamana walipokuwa wakishiriki tendo la ndoa.
Iliwalazimu walinda usalama kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya watu hao waliokua wanaongezeka eneo hilo kwa wingi.
Inasemekana wawili hao wamekua kwa uhusiano kwa muda mrefu japo walikua na wapenzi wao kwenye ndoa zao, wawili hao walikua mwanaume wa umri wa miaka 24, na mwanamke mwenye miaka thelatini, ambao mara kwa mara wameonekana pamoja wakitembelea hoteli hiyo kwa muda mrefu sasa.
Mumewe mwanamke huyo bwana Johnston Kabadi amesema mkewe, ambae wamekua kwa ndoa kwa muda wa miaka kumi, amekua akishiriki tendo la ndoa, nje ya ndoa yao, na mara kwa mara alipomuuliza mwanamke huyo alikana kutofanya hivo, alipofanya upelelezi na kugundua.
Hakuwa mwaminifu kwenye uhusiano huo aliamua kwenda kupata usaidizi wa kuweza kumnasa kwa daktari wa miti shamba kwa jina la Daktari Kiwanga.
Wawili hao ambao kulingana na moja wa mfanyakazi wa hoteli hiyo ambalo jina lake nimelibana aliniarifu kuwa mara kwa mara, kuanzia siku ya Ijumaa, Jumamosi na Jumapili.
Wawili hao walifika kwenye hoteli hio na kuweza kuagiza chumba kwa siku tatu kabla ya kuondoka siku ya Jumapili nyakati za mchana. Kulingana na Johnston anasema kwamba aliweza kuanza kuona tabia zisizo za kawaida kwa mkewe ambae wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka kumi.
“Mke wangu alianza kuonesha tabia ambazo sikuelewa zilitoka wapi, kwa muda huo wote tumekuwa kwenye ndoa sijamuona mke wangu akiwa jinsi alivyokuwa wiki tatu zilizopita," alinena.
Mwanaume huyo alisema mkewe aliacha kumpa wakati, wala hakutaka kumuskiza, alionekana aliyekuwa na shughuli mingi ambazo sikuelewa zilitika wapi. Alikuja nyumbani saa za usiku, na kuwa mwenye vurugu, mara kwa mara tulizozana naye na kwa kuwa nilimpenda na kumdhamini moyoni mwangu kwa dhati singetaka kumfurumusha kutoka kwangu.
Aliendelea kuja nyumbani wakati wa usiku na nilipomuuliza alikotoka alisema kuwa alikuwa kwenye shughuli za kikazi,ambazo zilimpa wakati mgumu na kuweza kuuchukua muda wake pakubwa jambo ambalo lilimfanya kuwasili nyumbani kwa kuchelewa.
Jambo halikumfurahisha bwana Johstone na mara kwa mara, alikuwa na huzuni moyoni mwake, kwa kuwa alimshuku mkewe, kwa kuwa na uhusiano wa ndoa nje ya ndoa. Jambo hilo lilimkwaza moyoni sana, japo hakuwa na uhakika na ushahidi alimshuku mkewe, siku moja nyakati za usiku mkewe alikuja chumbani mwake akiwa mlevi chakari, jambo ambalo lilimkwaza sana, alimkubali chumbani na kumuelekeza pa kulala.
Hapo ndipo alipogundua kua mkewe alikuwa na uhusiano mwingine, alipata picha ambazo walikua wamepiga na mume huyo kwenye simu yake, alimuarifu rafiki yake kuhusu jambo hilo, na kumuuliza ushauri , hapo ndipo aliarifiwa kuhusu Daktari Kiwanga, aliweza kukutana na daktari
huyo na kumwarifu kuhusu mkewe, na kua alitaka ukweli kufichuka, daktari kiwanga alifanya kazi ikajibu.
Daktari Kiwanga aliweza kuwasili eneo hilo na kuwakwamua wanaume hao, na kuwaonya wanaume wenye tabia kama hizo kuchukua tahadhari kwani chuma chao kilikua motoni, Daktari Kiwanga pia hutibu magojwa mbali mbali ikiwemo, kifua kikuu, saratani, na ugonjwa wa kisukari na magonjwa mengine mengi, Pia hutatua Matatizo ya ndoa, kusaidia kushinda kesi
Mtembelee leo upate suluhu kwa matatizo yanayo kutatiza. Tembelea wavuti www.kiwangadoctors.com. Pia waweza kumpigia simu kwa nambari +254 769404965 au tuma Ujumbe wa kielectroniki kwa :- kiwangadoctors@gmail.com
Credit: SALEH JEMBE
Please subscribe to get all sports news instantly
COMMENTS