OBREY CHIRWA AWAACHIA VIONGOZI HATMA YAKE NDANI YA AZAM FC
HomeMichezo

OBREY CHIRWA AWAACHIA VIONGOZI HATMA YAKE NDANI YA AZAM FC

  OBREY Chirwa, nyota wa kikosi cha Azam FC amesema kuwa suala la mkataba wake ndani ya kikosi hicho anawaachia mabosi zake kwa kuwa wao ...

 


OBREY Chirwa, nyota wa kikosi cha Azam FC amesema kuwa suala la mkataba wake ndani ya kikosi hicho anawaachia mabosi zake kwa kuwa wao wanajua siku ambayo mkataba wake utameguka.

Chirwa ana uzoefu wa soka la Tanzania ambapo aliwahi kucheza kwa mafanikio ndani ya kikosi cha Yanga kisha akasepa na kuibukia nchini Misri.

Kwa sasa yupo ndani ya viunga vya Azam Complex inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina na kandarasi yake inakaribia kuisha msimu huu.

Nyota huyo amesema:"Kuhusu mkataba mimi ninawaachia viongozi siwezi kusema jambo lolote, ninawaachia mabosi wangu kwa kuwa wao wanajua kwamba mkataba wangu utaisha.

"Mimi nimecheza Tanzania na mzoefu hapa Tanzania, Mungu akijalia nitabaki na ikishindikana nitaondoka kwa kuwa timu zipo.

"Viongozi wananijua nimekaa miaka miwili hivyo ninajua kwamba wanajua nafasi yangu, wakinipa nafasi nitasajiliwa kama nafasi hapana nitasajiliwa timu nyingine," amesema.

Ndani ya Azam FC katika Ligi Kuu Bara, Chirwa ametengeneza jumla ya pasi nne za mabao na ametupia mabao matano.




Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: OBREY CHIRWA AWAACHIA VIONGOZI HATMA YAKE NDANI YA AZAM FC
OBREY CHIRWA AWAACHIA VIONGOZI HATMA YAKE NDANI YA AZAM FC
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5dO-1RHDDUP5EU8aYPCOrtbUB5dCSSR2RirKVMB2aIc1qUefZSQyxF_OSHTlvmv8GnI2M5xnmHw3VV2CfJDwpB30oqSDV6SmI-d7yDUKhBaV04eE6EJKJAATJ-r8mWkfpGRMHl33oISQS/w640-h640/Chirwa+tena.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5dO-1RHDDUP5EU8aYPCOrtbUB5dCSSR2RirKVMB2aIc1qUefZSQyxF_OSHTlvmv8GnI2M5xnmHw3VV2CfJDwpB30oqSDV6SmI-d7yDUKhBaV04eE6EJKJAATJ-r8mWkfpGRMHl33oISQS/s72-w640-c-h640/Chirwa+tena.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/obrey-chirwa-awaachia-viongozi-hatma.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/obrey-chirwa-awaachia-viongozi-hatma.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy