Dc Busega aanza na kwa kusimamia ushuru wa ndani
HomeHabari

Dc Busega aanza na kwa kusimamia ushuru wa ndani

Samirah Yusuph. Busega. Mkuu wa wilaya ya Busega mkoani Simiyu Gabriel Zakaria  amesema atahakikisha anasimamia  makusanyo (ushuru) nda...


Samirah Yusuph.
Busega.
Mkuu wa wilaya ya Busega mkoani Simiyu Gabriel Zakaria  amesema atahakikisha anasimamia  makusanyo (ushuru) ndani ya Wilaya hiyo ikiwa ni moja kati ya vipaumbele vyake atakavyovitekeleza akiwa Wilayani hapo.

 Mkuu huyo alisema hayo jana wakati wa kikao chake na wananchi wa kijiji cha Bukabile kata ya Nyashimo ,kilichofanyika katika viwanja vya standi Wilayani hapo.

Alisema bila kusimamia makusanyo ya ushuru,wilaya hiyo haiwezi kuwa na miradi mbalimbali ya maendeleo hivyo ataanza na usimamizi madhubuti wa ushuru kwa kuunda kikosi kazi cha ufuatiliaji na ukusanyaji.

"Suala la ushuru( mapato) kwangu mimi ni kipaumbele cha kwanza na nitahakikisha tunakusanya zaidi ili asilimia 40 ya miradi iweze kubaki kwa ajili ya uboreshaji wa huduma za jamii" alisema.

Aliongeza kuwa Wilaya ya Busega ina vyanzo vingi vya makusanyo na kwa kutumia vyanzo  hivyo wataweza kukusanya fedha zaidi na wananchi watapata huduma za afya,miundombinu na elimu .

Aidha amewataka wananchi kulipa kodi wanazostahili na kushiriki katika shughuli za maendeleo ili kwa pamoja waweze kuibadilisha wilaya hiyo na kwa Wilaya ya mfano.


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Dc Busega aanza na kwa kusimamia ushuru wa ndani
Dc Busega aanza na kwa kusimamia ushuru wa ndani
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh6KO6yEdvelxgQgqV-xvupPMS7UkmAqLO4pze5yQXdsHMdVz40Gtq5fFMJagTMWticAuThAm00WQFO-JYI0hU3Lt5_aYJsaPQ0LsQ3aCnD5iyNOAhSWTWArWJNR91hScACPmpy2z3Esymz/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh6KO6yEdvelxgQgqV-xvupPMS7UkmAqLO4pze5yQXdsHMdVz40Gtq5fFMJagTMWticAuThAm00WQFO-JYI0hU3Lt5_aYJsaPQ0LsQ3aCnD5iyNOAhSWTWArWJNR91hScACPmpy2z3Esymz/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/dc-busega-aanza-na-kwa-kusimamia-ushuru.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/dc-busega-aanza-na-kwa-kusimamia-ushuru.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy