AZAM FC WATAJA UGUMU ULIPO KWENYE KUTWAA UBINGWA
HomeMichezo

AZAM FC WATAJA UGUMU ULIPO KWENYE KUTWAA UBINGWA

 UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kwamba kuna ugumu mkubwa kusepa na ubingwa msimu huu wa 2020/21 kutokana na mzigo wa pointi ambazo wameac...


 UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kwamba kuna ugumu mkubwa kusepa na ubingwa msimu huu wa 2020/21 kutokana na mzigo wa pointi ambazo wameachwa na vinara wa Ligi Kuu Bara ambao ni Simba.

Kwenye msimamo Azam FC ipo nafasi ya tatu na ina pointi 60 baada ya kucheza jumla ya mechi 30, vinara ni Simba wana pointi 67.

Tofauti yao ya kwanza ni kwenye mechi ambapo Simba imecheza jumla ya mechi 27 ikiwa imetofautiana mechi tatu na Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina.

Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa kuna ugumu wa kuchukua ubingwa kutokana na pointi ambazo wameachwa pamoja na mechi walizonazo vinara.

"Ipo wazi kabisa upo ugumu wa sisi kuchukua ubingwa wa ligi kutokana na wapinzani wetu waliokuwepo kileleni, (Simba) kuwa na michezo mitatu mikononi.

"Lakini hiyo haitufanyi tukate tamaa ya ubingwa kikubwa tutaendelea kupambana hadi  katika michezo na mwisho baada ya hapo bingwa atajulikana," .

Azam FC inawania pia taji la Kombe la Shirikisho ambalo lipo mikononi mwa Simba ikiwa imetinga hatua ya nusu fainali.

Itakutana na Simba kwenye mchezo wa kombe la Shirikisho na mshindi wa mchezo huo atakutana na Yanga ama Biashara United. 




Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: AZAM FC WATAJA UGUMU ULIPO KWENYE KUTWAA UBINGWA
AZAM FC WATAJA UGUMU ULIPO KWENYE KUTWAA UBINGWA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg8vzMqSRfyfZH6T_Ot8pBgud68ekRdGtDUOObN-wta5wGd6XrR57Vsy2VW5H_73bDDqFhDmM8ZHAwCj9m8OujOSR916kmc6DoVMFjSAawluO3QbbK9Zwg26PqBDnkyGo0MJwbnQsYgmU_P/w640-h640/Chirwa.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg8vzMqSRfyfZH6T_Ot8pBgud68ekRdGtDUOObN-wta5wGd6XrR57Vsy2VW5H_73bDDqFhDmM8ZHAwCj9m8OujOSR916kmc6DoVMFjSAawluO3QbbK9Zwg26PqBDnkyGo0MJwbnQsYgmU_P/s72-w640-c-h640/Chirwa.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/azam-fc-wataja-ugumu-ulipo-kwenye.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/06/azam-fc-wataja-ugumu-ulipo-kwenye.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy