Waziri Mkuu Atoa Maagizo Kwa Wizara Ya Habari Kuhusu Sakata la Mechi ya Simba na Yanga Kuahirishwa
HomeHabari

Waziri Mkuu Atoa Maagizo Kwa Wizara Ya Habari Kuhusu Sakata la Mechi ya Simba na Yanga Kuahirishwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kutoa taarifa juu ya sakata la mechi ya watani wa jadi...


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kutoa taarifa juu ya sakata la mechi ya watani wa jadi timu za Simba na Yanga uliokuwa uchezwe katika Uwanja wa Mpira wa Mkapa jijini Dar es Salaam, juzi Jumamosi, Mei 8, 2021.

Kauli hiyo ameitoa leo May 10, 2021 baada ya kipindi cha kutambulisha wageni waliotembelea Bunge .

Amesema baada ya kuahirishwa wa mchezo wa watani wa jadi, Simba na Yanga uliotakiwa kuchezwa Mei 8 mwaka huu kulisababisha manung’uniko katika mitandao ya jamii lakini pia kutojua hatima ya waliolipa kiingilio katika mchezo hu

“Kufuatia kero hiyo, tayari tumeagiza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuhakikisha wanatoa taarifa haraka sana kwa Watanzania mchezo wenyewe utachezwa lini lakini kuna viingilio ambavyo walikuwa wametoa hatma yake nini,” amesema.


Amesema wizara hiyo inatakiwa kutoa taarifa hiyo kwa kushirikiana na chombo kinachosimamia mchezo huo cha Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF).

Pia Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewasihi Watanzania kuwa  wavumulivu ili kuipa muda Wizara kwa kushirikiana na taasisi zinazosimamia mpira wa miguu ikiwemo TFF kuja na taarifa juu ya hatima ya mchezo huo.



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Waziri Mkuu Atoa Maagizo Kwa Wizara Ya Habari Kuhusu Sakata la Mechi ya Simba na Yanga Kuahirishwa
Waziri Mkuu Atoa Maagizo Kwa Wizara Ya Habari Kuhusu Sakata la Mechi ya Simba na Yanga Kuahirishwa
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhxkz9ERj15EeiTTaZiVgAtSv9d9Q2zJbzIFVVbHd6neMKHA0yTQsuJXP38S5jgPyrkTPoi7o-CjWyka3k7VSUwwjE2VZr7xVpSfr6BOjXtbfuyXuYnvAswK7K7NAZQM7qHrcaTZ1FiUUW/s16000/1.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhxkz9ERj15EeiTTaZiVgAtSv9d9Q2zJbzIFVVbHd6neMKHA0yTQsuJXP38S5jgPyrkTPoi7o-CjWyka3k7VSUwwjE2VZr7xVpSfr6BOjXtbfuyXuYnvAswK7K7NAZQM7qHrcaTZ1FiUUW/s72-c/1.jpeg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/waziri-mkuu-atoa-maagizo-kwa-wizara-ya.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/waziri-mkuu-atoa-maagizo-kwa-wizara-ya.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy