WAAMUZI SIMBA V YANGA NI PASUA KICHWA KWA KWELI
HomeMichezo

WAAMUZI SIMBA V YANGA NI PASUA KICHWA KWA KWELI

 BAADA ya awali mchezo wa Ligi Kuu Bara kupangwa kuchezwa Mei 8, Uwanja wa Mkapa na waamuzi kupatikana  sasa imekuwa ni pasua kichwa kujua...


 BAADA ya awali mchezo wa Ligi Kuu Bara kupangwa kuchezwa Mei 8, Uwanja wa Mkapa na waamuzi kupatikana  sasa imekuwa ni pasua kichwa kujua nani atakuwa mwamuzi watakapokutana Julai 3.

Awali kabla ya mchezo huo kuota mbawa, waamuzi ambao walipangwa ilikuwa ni pamoja na Emmanuel Mwandembwa aliyepewa jukumu la kuwa mwamuzi wa kati, Frank Komba aliyepangwa kuwa mwamuzi msaidizi namba moja, Hamdani Saidi aliyepangwa kuwa mwamuzi namba mbili pamoja na Ramadhan Kayoko ambaye alipangwa kuwa mwamuzi wa akiba.

Baada ya mchezo huo kuyeyuka kutokana na Yanga kugomea mabadiliko ya muda kwa kueleza kuwa mabadiliko ya muda uliofanywa na Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) kutoka saa 11:00 jioni mpaka saa 1:00 usiku ni kinyume cha utaratibu wa kanuni. Jambo hilo lilifanya mchezo huo ughairishwe kwa kuwa timu zilitofautiana muda wa kwenda.

Yanga walipeleka timu uwanjani saa 10:20 na ilisepa saa 11:40 jioni na Simba ilipeleka timu saa 11:25 jioni jambo lililofanya ngoma isichezwe na kwa taarifa iliyotolewa na Bodi ya Ligi Tanzania mchezo huo utachezwa saa 11:00 jioni, Julai 3.

Akizungumza na Saleh Jembe, Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi Tanzania, Sud Abdi Mohamed amesema kuwa kwa sasa ni mapema kusema kama waamuzi hao watakuwepo kwenye mchezo ujao.

"Ni mapema kusema kama watabaki hao kwenye mchezo ujao maana lolote linaweza kutokea,". 




Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: WAAMUZI SIMBA V YANGA NI PASUA KICHWA KWA KWELI
WAAMUZI SIMBA V YANGA NI PASUA KICHWA KWA KWELI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEihSL01WswSGQA1qC6FagZuYgQQSsv1cDrBYLAXymyNqVEDsCBPxVOhrIG7yo4cPUWnM04YAbE8cHunxCN5Ir1MmbLl8r6T6NijeB79Y5eoLdgxkND6Db8tkljN191Heu-FHL6Ev5NFwhWX/w636-h640/yassaboy24-182511026_3121077601460443_2060349966044700950_n.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEihSL01WswSGQA1qC6FagZuYgQQSsv1cDrBYLAXymyNqVEDsCBPxVOhrIG7yo4cPUWnM04YAbE8cHunxCN5Ir1MmbLl8r6T6NijeB79Y5eoLdgxkND6Db8tkljN191Heu-FHL6Ev5NFwhWX/s72-w636-c-h640/yassaboy24-182511026_3121077601460443_2060349966044700950_n.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/waamuzi-simba-v-yanga-ni-pasua-kichwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/waamuzi-simba-v-yanga-ni-pasua-kichwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy