Sekretarieti Ya SADC Ya Utatu Yakutana Kwa Dharura
HomeHabari

Sekretarieti Ya SADC Ya Utatu Yakutana Kwa Dharura

Sekretarieti ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC imeitisha mkutano wa dharura wa utatu wa Jumuiya hiyo wenye lengo la kujadili...


Sekretarieti ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC imeitisha mkutano wa dharura wa utatu wa Jumuiya hiyo wenye lengo la kujadili mapendekezo ya Mkutano wa Kamati ya Mawaziri wa Afya kuhusu hali ya ugonjwa wa COVID – 19.

 Katika Mkutano huo uliofanyika kwa njia ya mtandao Tanzania imewakilishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula aliyeambatana na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Balozi Joseph Edward Sokoine ambapo takwimu zinaonesha kupungua kwa maambukizi na vifo katika Bara hilo.

Taarifa hiyo imefafanua kuwa katika kipindi cha mwezi Januari hadi May 2021 Bara la Afrika limeripotiwa kuwa na visa vipya arobaini na mbili elfu ambapo vifo vipya ni Zaidi ya elfu moja na hivyo kushauri kuwa mikutano ya Jumuiya hiyo katika ngazi mbalimbali iendelee kufanyika kwa mseto wa ana kwa ana au  kwa njia ya mtandao.

Katika tukio jingine  Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula amefanya mkutano kwa njia ya mtandao na Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway Mhe. Ine Eriksen ambaye ameeleza kuridhishwa na hatua mbalimbali zinazochukuliwa na Serikali ya awamu ya tano katika kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji pamoja na masuala ya utawala bora na haki za binadamu

 Pia kabla ya mikutano hiyo Balozi Mulamula amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalowahudumia Wakimbizi Duniani UNHCR Bwana Antonio Jose Canhandula ambapo wamezungumzia masuala mbalimbali yanayohusu mustakabali wa wakimbizi hususani wa kutoka nchini Burundi na kukubaliana kuwa pande zote ziendelee kuwahamsisha Wakimbizi hao kurejea nchini mwa kwa hiari kwa kuwa hali ya kisiasa nchini humo imetengemaa


Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Sekretarieti Ya SADC Ya Utatu Yakutana Kwa Dharura
Sekretarieti Ya SADC Ya Utatu Yakutana Kwa Dharura
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwr5yKR6H3lJTt7FhNTAX-f9dpTV8pX_u8TNw2d5SOsHXlLN_llA_iwQD1p0MOXUiWL0fVjaeq89tlBE9HkO7UC__WnJeiCSqGj2iXvXDfp4kFsyaURzirK1iQJCr2-V1f_AnRxlGa1s1X/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjwr5yKR6H3lJTt7FhNTAX-f9dpTV8pX_u8TNw2d5SOsHXlLN_llA_iwQD1p0MOXUiWL0fVjaeq89tlBE9HkO7UC__WnJeiCSqGj2iXvXDfp4kFsyaURzirK1iQJCr2-V1f_AnRxlGa1s1X/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/sekretarieti-ya-sadc-ya-utatu-yakutana.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/sekretarieti-ya-sadc-ya-utatu-yakutana.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy