Roketi zapiga mji wa Tel Aviv - Israel baada ya ghorofa kuharibiwa Gaza
HomeHabari

Roketi zapiga mji wa Tel Aviv - Israel baada ya ghorofa kuharibiwa Gaza

Wanamgambo wa Kipalestina wanasema wamerusha makombora 130 katika mji wa Israeli wa Tel Aviv baada ya shambulio la anga la Israeli kuangu...


Wanamgambo wa Kipalestina wanasema wamerusha makombora 130 katika mji wa Israeli wa Tel Aviv baada ya shambulio la anga la Israeli kuangusha ghorofa katika eneo la ukanda wa Gaza.

Jumba hilo la ghorofa 13- lilishambuliwa saa moja unusu baada ya wakazi na wenyeji wa eneo hilo kushauriwa waondoke, shirika la habari la Reuters liliripoti.

Jeshi la Israel linasema kuwa linalenga wanamgambo mjini Gaza kujibu shambulio la awali la roketi.

Watu 31 wameuawa baadhi yao katika ghasia mbaya zaidi zilizowahi kushuhudiwa katika miaka ya hivi karibuni.

Jamii ya kimataifa imetoa wito kwa pande zote mbili kukomesha mapigano, yaliyofuatiwa na siku kadhaa za ghasia mjini Jerusalem.

Wanamgambo walikuwa tayari wafyatua mamia ya maroketi kuelekea upande wa Jerusalem na maeneo mengine.

Watu watatu wameuawa katika maeneo ya Israeli huku Wapalestina 28 wakiuawa kwa makomboro ya Israel.

Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu awali ailisema kundi kubwa la wanamgambo, Hamas, “limevuka mpaka” kwa kurusha maroketi kuelekea Jerusalem kwa mara ya kwanza ndani ya miaka kadhaa.

Hamas, ambayo inadhibiti Gaza, inasema imechukua hatua hiyo kulinda msikiti wa al-Aqsa mjini Jerusalem dhidi ya “ dhalimu na ugaidi” wa Israel baada ya eneo hilo, takatifu kwa Waislamu na Wayahudi, kukumbwa na makabiliano kati ya polisi wa Israeil na Wapalestina siku ya Jumatatu na kusbabisha mamia kujeruhiwa.

 

Credit:BBC



Credit: MPEKUZI

Thanks for your time please share with your friends
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: Roketi zapiga mji wa Tel Aviv - Israel baada ya ghorofa kuharibiwa Gaza
Roketi zapiga mji wa Tel Aviv - Israel baada ya ghorofa kuharibiwa Gaza
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIf_UGCVYDbnzG_AO8UJ1lhRBtBjUvjnRtILdKIJ7JJPZrmRyhAaVB1wM2xAt3uGCM-8-tg_7HUYGi0gsWv0j2jHBH1sh2qRl3wH5z7ocewHLTQjwXdsbI1RnVPjtokpDF46QlbiYbJO2G/s16000/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgIf_UGCVYDbnzG_AO8UJ1lhRBtBjUvjnRtILdKIJ7JJPZrmRyhAaVB1wM2xAt3uGCM-8-tg_7HUYGi0gsWv0j2jHBH1sh2qRl3wH5z7ocewHLTQjwXdsbI1RnVPjtokpDF46QlbiYbJO2G/s72-c/1.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/roketi-zapiga-mji-wa-tel-aviv-israel.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/roketi-zapiga-mji-wa-tel-aviv-israel.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy