MJADALA WA WASANII NA BASATA KUAMULIWA JUMAMOSI
HomeMichezo

MJADALA WA WASANII NA BASATA KUAMULIWA JUMAMOSI

  BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) Mei 1, 2021 wameanza kutumia sheria ya kuzikagua nyimbo zote mpya za wasanii kabla ya kupelekwa kweny...

EPL, BUNDESLIGA NA LIGUE 1 KUENDELEA WIKENDI HII
HII HAPA ORODHA YA MAKOCHA WANAOTAJWA KUTOKIDHI VIGEZO, GOMES WA SIMBA NDANI
YANGA YATUMIA MUDA KUWASOMA WAPINZANI WAO, KAZI INAENDELEA

 


BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) Mei 1, 2021 wameanza kutumia sheria ya kuzikagua nyimbo zote mpya za wasanii kabla ya kupelekwa kwenye Radio au TV nchini ambapo utaratibu huo mpya unamlazimu msanii kusubiri BASATA ipitishe wimbo wake na akabidhiwe cheti kisha wimbo upelekwa redioni.

 


Wasanii wengi kwa asilimia kubwa pamoja na wadau wa burudani wameonesha kutopendezwa na sheria hiyo na kutaka BASATA iachane na huo utaratibu au itafute utaratibu mwingine wa kudhibiti nyimbo zisizo na maadili lakini sio huu, sasa baada ya yote hayo Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amejitokeza na kuongea yafuatayo.

 

“Nimefikishiwa maoni mengi na Wadau mbalimbali kuhusu agizo la Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kuhakiki kazi za muziki kabla hazijatoka na inaonekana BASATA wanaona ni njia ya kuboresha kazi na kulinda maadili”

 

“Wadau nao wana hoja kwamba huko ni kuleta urasimu usio na lazima, tutalimaliza hilo hivi siku ya Jumamosi Mei, 8 2021. Waziri wetu Innocent Bashungwa na mimi tutakaa kuwasikiliza BASATA na Wawakilishi wa Wasanii hoja kwa hoja kisha tutatoa uamuzi wa papo kwa hapo, hili limeisha” – Dkt. Hassan Abbasi




Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: MJADALA WA WASANII NA BASATA KUAMULIWA JUMAMOSI
MJADALA WA WASANII NA BASATA KUAMULIWA JUMAMOSI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjjsDNq7V4MhkGYwbGXj-lPdOdyxoNwqo8-3IE7SyA0qUy1Bf3eGsNKGUb1RwJ8ckXzqVAE5DRzvDGue201yAOPPmjeJzMcMTmshAGOUt69Ajl8QiHYc5VRcwbAzBo0cgeUGbQ4WFrWX1wi/w640-h418/hassanpic-data-702x459.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjjsDNq7V4MhkGYwbGXj-lPdOdyxoNwqo8-3IE7SyA0qUy1Bf3eGsNKGUb1RwJ8ckXzqVAE5DRzvDGue201yAOPPmjeJzMcMTmshAGOUt69Ajl8QiHYc5VRcwbAzBo0cgeUGbQ4WFrWX1wi/s72-w640-c-h418/hassanpic-data-702x459.jpg
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/mjadala-wa-wasanii-na-basata-kuamuliwa.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/05/mjadala-wa-wasanii-na-basata-kuamuliwa.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy