SIMBA KUSEPA DUBAI LEO KUWAFUATA AL AHLY MISRI
HomeMichezo

SIMBA KUSEPA DUBAI LEO KUWAFUATA AL AHLY MISRI

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba leo Aprili 7 wanatarajiwa kuanza safari kuelekea Misri, baada ya jana Apri...

ISHU YA BEKI MGHANA KUIBUKIA YANGA IPO HIVI
YANGA: BADO HATUJAMALIZA LIGI, YATUMA SALAMU DODOMA JIJI
HUU HAPA UJUMBE AMBAO MASHABIKI WA COASTAL UNION WAMEMUACHIA MGUTO NA MGUNDA



WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba leo Aprili 7 wanatarajiwa kuanza safari kuelekea Misri, baada ya jana Aprili 6 kuweka mapumziko Dubai.

Simba ilisepa na msafara wenye watu 55 ikiwa ni pamoja na wachezaji, benchi la ufundi pamoja na viongozi.

Kitaanza kuwafuata wapinzani wao Al Ahly kwa ajili ya kumaliza mchezo wao wa mwisho wa hatua ya makundi.

Kwenye msimamo Simba ipo nafasi ya kwanza katika kundi A baada ya kukusanya pointi 13 inakutana na Al Ahly ambayo ipo nafasi ya pili na pointi zake kibindoni ni 8.

Timu hizi mbili zimefuzu hatua ya robo fainali huku AS Vita iliyo nafasi ya tatu na pointi nne pamoja na Al Merrikh iliyo nafasi ya nne na pointi 2 ikikwama kutinga hatua ya robo fainali kwenye hatua ya makundi.

Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 9, nchini Misri ambapo Al hly wanakumbuka kwamba walipotua Bongo, walipotezwa kwa kufungwa bao 1-0 lililopachikwa na Luis Miquissone kwa pasi ya Clatous Chama na wote wapo kwenye msafara.

Wengine ambao wapo kwenye msafara wa Simba kwa upande wa wachezaji ni pamoja na Meddie Kagere, Bernard Morrison, Said Ndemla, Ibrahim Ajibu, John Bocco na Rarry Bwalya.

Kwa upande wa viongozi ni Ofisa Habari Haji Manara, Mtendaji Mkuu, Barbara Gonzalez.

Meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu amesema kuwa wanakwenda kushindana na wanaamini watapata matokeo chanya.



Credit: SALEH JEMBE

Please subscribe to get all sports news instantly
Name

Afya,4,Ajira,2657,Audio,26,Biashara,2,Burudani,43,Economics,1,ELIMU,26,Gossip,38,Habari,3618,History,2,Kimataifa,202,kisiasa,13,Kiswahili,6,Kitaifa,147,Magazeti,44,Matokeo,3,Matukio,89,Michezo,2829,Muziki,62,Nairobi aiport,1,Ripoti,4,Tools,1,Top Stories,757,Video,47,Vituko,15,
ltr
item
Antagon Blog: SIMBA KUSEPA DUBAI LEO KUWAFUATA AL AHLY MISRI
SIMBA KUSEPA DUBAI LEO KUWAFUATA AL AHLY MISRI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEidQ0uG5mPGg1Zb85FpB12tWgRsNlcy4qUj0gPGspCDXxOXqqWWuJpDWKOrAAwvDi5VarRp7lUQWnO2ijyoTuAlbGEEm1C8S2QKg7prIfH3sukNBPa4ZO1Qwz9StnrR3_ghe6m28t42BJVJ/w640-h524/Kagere+Dubai.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEidQ0uG5mPGg1Zb85FpB12tWgRsNlcy4qUj0gPGspCDXxOXqqWWuJpDWKOrAAwvDi5VarRp7lUQWnO2ijyoTuAlbGEEm1C8S2QKg7prIfH3sukNBPa4ZO1Qwz9StnrR3_ghe6m28t42BJVJ/s72-w640-c-h524/Kagere+Dubai.JPG
Antagon Blog
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/simba-kusepa-dubai-leo-kuwafuata-al.html
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/
https://antagonf.blogspot.com/2021/04/simba-kusepa-dubai-leo-kuwafuata-al.html
true
8268252095325502418
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy